Ukipewa Chumvi asili toka Uvinza ?
sas chumv ni tamu mkuu?
Weka kwenye chai unywe...Sukari nasikia ina madhara ukiilamba hivi hivi. Nimekumiss sweatlady mzima lakini
Asali sawa lakini masega napata wasiwasi
Mkuu hayo nilisha yatafunaga kitambo tatizo yanavimbisha tumbo
Hujapata yenye kiwango....ulikula yaliyochakachuliwa.Me mwenyewe nakula mpaka napata njaa badala ya kushiba
Naihisi uchungu kwenye ulimi wangu so nahitaji kulamba kitu chenye utamu