hv wana jf huyu maalim seif sharif hamad ana kazi gani......? Au ndo yale mamlaka makubwa lakini ni kama bure tu.
Ndio ndoa za ukubwani unaacha wanao wanatangatanga wewe unajichana na bwana mwenye pesa za kifisadi wakati hata kizazi kilishaondolewa.
Nadhan ni kazi moja tu. Kuuza sura!