Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,209
- 20,957
Sasa una tofauti Gani Na Deci?Ipo hivi.. huu ni mchezo wa pesa.. hakuna biashara pesa yako inaenda kufanya.. isipo kuwa ukiweka 20K inaenda kumlipa mtu aliye kutangulia ili awahakikishie wengine kuwa inalipa.. pyramid scheme huwa zina mwisho hasa pale ambapo pesa inayo ingia kutokana na watu wapya inakuwa ndogo kuliko pesa inayotakiwa kuwalipa wale walio tangulia..
