wacha bhuanaaaaa....Usilolijua ni kama usiku wa Giza. Nyie endeleeni kuwa na mashaka wakati wenzenu twala, tena kiulaini bila jasho wala bughdha.
Yaani kuitilia shaka Kaylanda ni sawa na wapinga chanjo ya CORONA ambao hadi leo wanasubiri waliochanja wageuke mazombi.
ama wanavyotangaza mchongo pesa au sioMimi mwenyewe nilifikiri wame edit sio Itv Lakini jana naangalia ITV naona kipindi kile cha michezo segment ya habar wanawatangaza hawa mabwana na redio nyingi sana zinawatangaza

,,jina langu naitwa Kibogoyo.unanunua bidhaa hewa 20 kilasiku na mtaji wako ulioweka haukatwi badala yake unaongezewa hela tena kama faida?,wewe uliona wapi haya mambo ulimwengu huu wa sasa ulivyo mgumu kupata fedha?!.
mimi sichezi na sitojaribu,ila nyinyi mnaocheza mtakuja kuwa mabilionea wakubwa nawahakikishia.nipo nimekaa pale,,jina langu naitwa Kibogoyo.






eti nimekaaa oaleWithin 48 hours ela yako unajilia 😅
Ni Matapeli
Utakufa maskini ukiendlea kuzificha ela zako chini ya kitanda 😅
Ndugu huyo hakukuelrwesha vizuri kalyinda inakulipa faida kulingana na hela uliyoweka na kazi iliyoifanya kama umeweka elfu 20000 utapata 800 kasiku ambayo ni 4% ila kadri hela inavoongezeka na malipo yanapanda pia atakae weka laki moja atalipwa asilimia 4% ya hiyo laki moja ni ukweli mtupuInawezekana aliyepata faida zaidi aliweka zaidi ya hiyo elfu 20
Ndugu huyo hakukuelrwesha vizuri kalyinda inakulipa faida kulingana na hela uliyoweka na kazi iliyoifanya kama umeweka elfu 20000 utapata 800 kasiku ambayo ni 4% ila kadri hela inavoongezeka na malipo yanapanda pia atakae weka laki moja atalipwa asilimia 4% ya hiyo laki moja ni ukweli mtupu
Ukeendelea kula hukoUsilolijua ni kama usiku wa Giza. Nyie endeleeni kuwa na mashaka wakati wenzenu twala, tena kiulaini bila jasho wala bughdha.
Yaani kuitilia shaka Kaylanda ni sawa na wapinga chanjo ya CORONA ambao hadi leo wanasubiri waliochanja wageuke mazombi.
Usilolijua ni kama usiku wa Giza. Nyie endeleeni kuwa na mashaka wakati wenzenu twala, tena kiulaini bila jasho wala bughdha.
Yaani kuitilia shaka Kaylanda ni sawa na wapinga chanj
Tayari Kayland ishawageuza misukule. Una lolote la kusema?Usilolijua ni kama usiku wa Giza. Nyie endeleeni kuwa na mashaka wakati wenzenu twala, tena kiulaini bila jasho wala bughdha.
Yaani kuitilia shaka Kaylanda ni sawa na wapinga chanjo ya CORONA ambao hadi leo wanasubiri waliochanja wageuke mazombi.
Hapa unamaanisha nini?Tayari Kayland ishawageuza misukule. Una lolote la kusema?
Acha uongoNdugu huyo hakukuelrwesha vizuri kalyinda inakulipa faida kulingana na hela uliyoweka na kazi iliyoifanya kama umeweka elfu 20000 utapata 800 kasiku ambayo ni 4% ila kadri hela inavoongezeka na malipo yanapanda pia atakae weka laki moja atalipwa asilimia 4% ya hiyo laki moja ni ukweli mtupu