Guys kuna hiii kampuni ya e commerce inaitwa kalynda E-commerce hivi hiii kampuni ni halali au ndio kama wale wazee wa Good morning
Maana naona ITV na redio nyingi tu wanaipa airtime sana hua siziamin sana hizi online issues lakin
Piaaa naomba mmoja anisaidie kuangalia huko Brela kama imesajiliwa kweli
View attachment 2353523
Leseni huwa hazilipwi kwa pesa ya kitanzania kwa makampuni ya kimataifa so kuna wajanja pale brela washapiga watu changa la macho ukishaona mwanzo tu kuna utaperi ujue kikinuka hamna atakayekamatwa
Vipi system imecollapseAlikuja kunishawishi nilimwambia sina hela ya kujiunga akasema atanipa hela nijiunge nikipata faida nitarudisha basi ikawa hivyo leo nimemwambia tumeshapigwa kwa hiyo hela yake sina![]()



Imecollapse kitambo toka jana then wanapiga sound kua technicians wako kazini itarudi tarehe 10. Watu wameshasepa na kijiji wako zao dubai wanakula bata kwa hela za wajingaVipi system imecollapse![]()
Mamaeeeee,Demu aliwakuwa amenishauri niweke Million niingie kundi la V.I.P,Yaan leo nilikuwa nampa pesa dadekiiImecollapse kitambo toka jana then wanapiga sound kua technicians wako kazini itarudi tarehe 10. Watu wameshasepa na kijiji wako zao dubai wanakula bata kwa hela za wajinga
Wabongo kwa kuuzana ndio maana tuliuzana Utumwa huna huruma kabisa na Ndugu zako.😣Acha maswali mengi sisi huku tumejiunga longtime kwa sh 20,000 na kila siku unapiga kamisheni ya sh 800 siku zinavyoenda mbele kamisheni inaongezeka kwa sasa napiga 6000 kwa siku.. jiunge hapa kwa link hii maisha magumu!! Kalynda
Kusajiriwa Brela haimanishi kwamba uko smart, tena kampuni zote za kutapeli kitu cha kwanza huw ani hicho.Guys kuna hiii kampuni ya e commerce inaitwa kalynda E-commerce hivi hiii kampuni ni halali au ndio kama wale wazee wa Good morning
Maana naona ITV na redio nyingi tu wanaipa airtime sana hua siziamin sana hizi online issues lakin
Piaaa naomba mmoja anisaidie kuangalia huko Brela kama imesajiliwa kweli
View attachment 2353523View attachment 2353524
Mimi hizi issue za mitandao siweki hela yangu anaekuja kuja kunishawishi namwambia yeye ndo anipe pesa nikipata faida kama asemavyo nitamlipaMamaeeeee,Demu aliwakuwa amenishauri niweke Million niingie kundi la V.I.P,Yaan leo nilikuwa nampa pesa dadekii