Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 1,152
- 1,351
- Thread starter
- #61
Yaani kijana wa 2002 sio mtoto kama wengi wanavyo fikiri Leo hii Binti wa 2005 anawatoto watatu wengine mpaka wanne uyo ni mkubwa wapewe heshimaUmri unaenda siyo powa 😁😁
Yaani kijana wa 2002 sio mtoto kama wengi wanavyo fikiri Leo hii Binti wa 2005 anawatoto watatu wengine mpaka wanne uyo ni mkubwa wapewe heshimaUmri unaenda siyo powa 😁😁
Ni kweli Mkuu, ila binti wa 2005 watoto watatu siyo kweli labda kama ndoa za utotoni hapo sawaYaani kijana wa 2002 sio mtoto kama wengi wanavyo fikiri Leo hii Binti wa 2005 anawatoto watatu wengine mpaka wanne uyo ni mkubwa wapewe heshima
aje nayeye tusikilize pande zote mbiliKajidanganya mwanamke yue mbinafsi naichapa haswa namsugua anakojoa Mimi Bado akisha kojoa tu yeye ajali kitu kuhusu Mimi
Mkuu wa 2005 unajuwa anaumri Gani now!Ni kweli Mkuu, ila binti wa 2005 watoto watatu siyo kweli labda kama ndoa za utotoni hapo sawa
Mapacha inawezekanaNi kweli Mkuu, ila binti wa 2005 watoto watatu siyo kweli labda kama ndoa za utotoni hapo sawa
Swala lake ni ilo tu eti Mimi nikipanda kifuani sishuki mara oooh eti nafanya kama nipo kwenye mashindano ah aende zake uko 😙aje nayeye tusikilize pande zote mbili
Swala lake ni ilo tu eti Mimi nikipanda kifuani sishuki mara oooh eti nafanya kama nipo kwenye mashindano ah aende zake ukoaje nayeye tusikilize pande zote mbili
uko wap nije nijihakikishie mwenyeweSwala lake ni ilo tu eti Mimi nikipanda kifuani sishuki mara oooh eti nafanya kama nipo kwenye mashindano ah aende zake uko 😙
Ewaaaah hakika mwanza iyo.uko wap nije nijihakikishie mwenyewe
nije lini na saa ngapiEwaaaah hakika mwanza iyo.
😅😅 kwamba? Elewa mtu alozaliwa 2005 hawezi kuwa na watoto watatu au wanne labda kama anakaa mwaka mmoja mtoto, then next year anajifungua tena hapo sawa nitakubaliana na weweMkuu wa 2005 unajuwa anaumri Gani now!
Kama ni mapacha sawa, ila kwa uzazi wa mtoto mmoja mmoja ngumuMapacha inawezekana
Ni wewe tu muda wowote ila inapendeza ikiwa usiku tulale kabisa one night standnije lini na saa ngapi
Ila kama upo siriasi kabisa tafadhari nifuate dm tupange vizuri si hapa maana Mimi ninachokiongea namainisha kabisanije lini na saa ngapi
sasa mimi nitakaa wiki nijue kama na uwezo wa kubebesha mimba unao kisha nitaitoaNi wewe tu muda wowote ila inapendeza ikiwa usiku tulale kabisa one night stand
Njoo dm tafadhari mjadala huu kama kweli upo siriasi sio Tena wa kujadili hapa Bali ni wetu binafsisasa mimi nitakaa wiki nijue kama na uwezo wa kubebesha mimba unao kisha nitaitoa
Vema.Tumia neno "Kwakweli" kufunga mjadala huu wa ufanyaji "jimai"!Kwakweli kuna muda ata Mimi uwa najishangaa sio poa kwakweli mmh Kuna mdada nilifanya nae jimai akaniambia nitafute dawa ya kupunguza nguvu lasivyo wanawake watakuwa wananikimbia, ndio maana napenda kutoka na wadada watu wazima au mishangazi mijimama uko ndio namaliza kabisa nami nafurahi tendo
Maana yake nini sasa mkuu sijakuelewa vizuri unajibuje ivyo aseeVema.Tumia neno "Kwakweli" kufunga mjadala huu wa ufanyaji "jimai"!
Ulipoandika "Kwakweli" na ulivyoenda kushughulika na kupata ushuhuda wa yule dada,basi yaonesha hauonewi kuhusu kuchosha akina dada.Maana yake nini sasa mkuu sijakuelewa vizuri unajibuje ivyo asee
Vijana wa hovyo hawajitaji, tunawafahamu kupita nyuzi zaoHapana ili sio tangazo mkuu ni jambo real kabisa Sina muda wa kutafuta mtelezo mi si kijana wa ovyo