Nataka kujua kulikoni asee🤔

Nataka kujua kulikoni asee🤔

Thread ifungwe, tukale chips.....na watu wazito wazito wakale ugali.
Kajidanganya na hapa ndio nimeamini kumbe wanawake pia Wengi wenu wabinafsi kwenye tendo yaani swala la muhimu kabisa Mimi ninapokuwa na mwanamke kitandani lazima afike yeye kwanza then ndio Mimi sasa uyo akisha fika tu yeye ndio imeisha iyo nawakati Mimi bado
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom