Mwalimu Ntuntu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 305
- 279
Habari Wana Jamvi! Hongereni kwa Sherehe za mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka ujao!
Mimi ni mmoja wa wale wanaopenda kujua fursa kutoka maeneo mabalimbali ili kuimarisha mawazo fikra za uwekezaji.
Leo natamani sana kuijua Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi. Kwenye kuijua hasa upande wa fursa na huduma za kijamii....
Njooni Wana Mpanda.....mtujuze mazuri ya kwenu
Mimi ni mmoja wa wale wanaopenda kujua fursa kutoka maeneo mabalimbali ili kuimarisha mawazo fikra za uwekezaji.
Leo natamani sana kuijua Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi. Kwenye kuijua hasa upande wa fursa na huduma za kijamii....
Njooni Wana Mpanda.....mtujuze mazuri ya kwenu