nilivyojiunga na free masonry na kuibuka bilionea. mimi ni mfanya biashara maarufu jijini dar es salam,ingawa nyuma ya pazia ni mtumishi wa imani ya free mason.ilikuwa sio kazi rahisi kujulikana ukiutazama uso wangu na kunijadili usingefikilia iwapo ningeweza kujiunga na free mason.nilionekana mtu mwenye upendo,mnyenyekevu,mtiifu na anaejali watu bila ubaguzi lakini katili sana. Nilijiunga na free mason mwaka 2004 nikiwa jijini arusha,nikiwa na jopo la waumini wa free mason.kipindi hicho wakati najiunga ilikuwa ni siri kubwa sana na siku zote nilitamani kuendelea kujificha,ila kutokana na stori za uongo zinazo andikwa na kusimuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.nimeamua nieleze ukweli namna nilivyojiunga na kuwa bilionea.pia nitawatajia baadhi ya vigogo waliopo free masons. Sitaki kuwafundisha watu wafanye hivi kwasababu najua itawaghalimu maishani mwao,naomba ikumbukwe kuwa sio kila utajila unaweza kuwa mzuri.hivi hujui kuwa wapo matajiri wanaoteseka kwa kuwatoa ndugu, wazazi wao kafara, katka kuua. Jina langu la ubatizo naitwa michael peter mabinga,natoka wilaya ya same mkoani kilimanjaro,kabila langu ni mpare wa chome nasema chome kwasababu ndipo chimbuko la kizazi cha mababu zetu.lakini nimekulia hedaru ambako nilikuwa nikiishi na bibi yang kizaa baba,mzee mabinga wazazi wangu walifariki miaka kumi na nne iliyopita ka ajari ya gari enzi hizi walikuwa wakifanya kazi katika shirika la reli tanzania,mjini moshi.baada ya kifo cha wazazi wangu yaligeuka kuwa jiwe,ugumu huu ndio ulio mtoa bibi yangu machozi kila siku iitwayo leo.hakuwa na nguvu za kulima na kunilea kwasababu,tuliachwa watatu,mimi na wadogo zangu wawili wakiume na wakike. Enzi za utoto wangu,nilikuwa nina ndoto za kuwa tajiri wa dunia,na wengi walinishangaa kwa hali ya familia yetu na ndoto zangu zilikuwa ni vitu viwili tofauti,.ajabu mareemu babu yangu alinitabilia na kuniambia''michael,lazima utakuja kuwa tajri wa dunia''sikutaka kuipuuzia kauli iyo,niliieshimu na kuitunza katika kumbukumbu zangu kichwani. Kutokana na ugumu wa maisha niliamua kwenda mererani wakati huo ilikuwa ndani ya mkoa wa arusha,lakini kwa sasa ni mkoa wa manyara.niliweza kuanza maisha magumu na kujifunza roho ya ukatili.migodi hii ya block d,ilikuwa ni mirefu zaida ya opec,.nilivaa ujasiri na kukomaa,ilipo fika saa nane usiku tuliamlishwa tukapumzike,kutokana na zana za kufanyia kazi,hasa mafuta ya magnum pia kilicho isha kingine kilikuwa codex sisi wa mererani uziita koteksi.nilifa kazi hapo kwa bidii zote,na kuwatumia wadogo zangu pesa kwa ajili ya maitaji ya nyambani maoja shule.siku si nyingi mgodi wetu uliua watu waliofukiwa na mwamba,hapo mgodi wetu ukafungwa ndipo nilipo kwenda kutafyta kazi kwenye migodi mingine,..nilienda kuomba kazi kwenye mdodi mmoja wa wakabulu ,.tulichaguliwa watu kumi na wengine walikosa nafasi.nilianza kazi katika mgodi hou na nilikuwa tayali nimeisha kuwa mzoefu wa kuendesha mashine za kufanyia wakaburu hao walitokea kunipenda mpaka wenzangu wakawa wanadai natumia kizizi,mkaburu mmoja aitwae john ndie alie niunganisha free mason.nitaendelea na historia yangu namba zangu 0754 016795.