Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
lazima uwe na slogan moja kali sana, kama vile "uwazi na ukweli", " kasi mpya, nguvu mpya na ari mpya",wewe yako iwe KIBOKO CHA MAFISADI, au UFISADI KWANGU MWIKO, au kali zaidi uahidi kufanya kazi bila mshahara.Chakula si nasikia bure ikulu? Hapo utashinda mara moja.