Nataka kufungua Studio ya Picha

Shomari

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,112
241
Jamani wanajukwaa wenzangu. kwanza kabisa asalaam alaykum pia bwana yesu asifiwe sana. Mimi nina nia ya kuanzisha biashara ya upigaji picha katika maeneo ya jiji la Mwanza. kuna mtu yeyote mwenye uzoefu anayeweza kuniambia itanigharimu kiasi gani kufungua studio ya kisasa kabisa, na ni vifaa gani hasa ambavyo ninatakiwa niwe navyo?. natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
wewe hapo ulipo una kiasi gani? ina hiyo ya biashara na zinginezo, hakuna mtaji maalum wa kuanza nao, inategemea na malengo yako na uwezo wako. Ila ukitaka iwe modern photo studio tafuta mtaji usiopungua milioni kumi then, fanya business research kwenye photo studios nyingine, then andaa mpango wa biashara, kisha anza biashara.
 
tafta printer flan za apson zinauzwa kuanzia laki sita, tafta professional camera canon, tafta computer yenye uwezo wa kutumia adobe photoshop, na tafta location nzuri umtafte designer apambe photo room yako. Kwa hesabu za haraka haraka kwa kuanzia mil 3 zinatosha
 
tafta printer flan za apson zinauzwa kuanzia laki sita, tafta professional camera canon, tafta computer yenye uwezo wa kutumia adobe photoshop, na tafta location nzuri umtafte designer apambe photo room yako. Kwa hesabu za haraka haraka kwa kuanzia mil 3 zinatosha
elmagnifico na wengine wote kwa kweli nimefurahi na ninashukuru sana kwa mchango wenu, kitu kingine naona watu wengi sana wanatumia Nikon siku hizi, je , inakuwa na ubora zaidi kuliko Canon au ni fasheni tu?
 
Last edited by a moderator:
Nikon na Canon zote ni camera nzuri tu. Ni kiasi tu cha kujua exactly model ipi utachukua. Mimi nimeisha tumia Canon D50, ni nzuri ingawa sasa kuna models nzuri zaidi. Na sasa natumia Nikon D5000, ni nzuri sana tu! Ni bajeti yako tu. Bei zake hizo ni kati ya $ 800 - 1500.
 
Nikon na Canon zote ni camera nzuri tu. Ni kiasi tu cha kujua exactly model ipi utachukua. Mimi nimeisha tumia Canon D50, ni nzuri ingawa sasa kuna models nzuri zaidi. Na sasa natumia Nikon D5000, ni nzuri sana tu! Ni bajeti yako tu. Bei zake hizo ni kati ya $ 800 - 1500.

nahitaji studio lights mkuu, wapi ntapata?? na aina gani ni nzuri??? na zenye watts ngapi zinafaa kwnye chumba cha 3m *3m
 
Kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited (CWB) ni kampuni ya muungano wa vijana wa kitanzania na kichina waishio jijini Shanghai-China.Kampuni hii iliyoanzishwa february mwaka 2012 jijini Shanghai kwa Lengo la kuifikia jamii ya wafanyabiashara wa Tanzania na Africa kiujumla watakao kununua bidhaa zenye ubora wa hali ya juu kutoka nje ya nchi (hususani China) kwa ajili ya kuboresha biashara zao.Kutokana na kuwa na changamoto nyingi zinazowapata wafanyabiashara wa Tanzania katika nyanja za kukataliwa kibali cha kuvuka mipaka(VISA REJECTION), ugumu wa lugha ya kichina( LANGUAGE BARRIER),kupata bidhaa bandia (FAKE GOODS)katika masoko madogo madogo ndani ya China na pia kukosa mahusiano ya moja (DIRECT LINK) na viwanda vitengenezavyo bidhaa mbali mbali nchini China. CWB ni njia sahihi ya kuweza kuboresha biashara yako bila kukutana na changamoto tajwa hapo juu, ni rafiki mwema wa biashara yako, ni njia sahihi ya kuweza kutimiza ndoto zako katika uwanja huu wa biashara. CWB,Tunatoa elimu ni jinsi gani ya kufanya kazi na sisi, tuna toa ushauri ni aina gani ya biashara mtu anaweza kufanya kulingana na mtaji wake, tunatoa maelezo ya kina kuhusu bidhaa zetu zote tuzitoazo mfano simu, tablets,nk. Kwa Sasa makao makuu ya ofisi za CWB yapo jijini Shanghai na ifikapo January 2014 ofisi zetu zitahamishiwa Ushirika Tower jijini Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi tafadhali tembelea website yetu www.chinaworldbuz.com pia unaweza wasiliana nami kwa email juely2006@yahoo.com au justineluvanda@gmail.com, simu namba +8613524159707.



Usiwe na shaka kuuliza au kuhitaji mafafanuzi ya kina. Tupo kwa ajili ya kufikia mahitaji ya wafanyabiashara na watu wanaotaka kufanya biashara.



Asanteni.
 
Back
Top Bottom