Biashara ya pub mbeya inalipa?
MI kwa sasa nipo UK ila ningependa kufungua pub kule kwetu kwa sababu hapa vifaa ni bei rahisi kama tv kubwa ,music systms nk.
Yani emekaa ukawazaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukaona pub ni tv na mziki.hata bongo hivyo vitu bei rahisi.kaa ujipange isije kua pub jina afu pakawa kama kwa mama ntilie.al the best
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.