Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Heshima yenu wana JFnataka kufungua business training centre kwa ajili ya kutoa mafunzo na semina ndogo ndogo za wajasilimali ambapo nitakuwa natoa mafunzo na semina kuhusu.
Mambo ya biashara, ushauri wa kibiashara, masoko na mifumo mingine ya kibiashara.
Hivyo nahitaji msaada wenu ni vitu gani muhimu vya kufahamu na kuzingatia kwa watu nitakaokuwa nawafundisha.
Mambo ya biashara, ushauri wa kibiashara, masoko na mifumo mingine ya kibiashara.
Hivyo nahitaji msaada wenu ni vitu gani muhimu vya kufahamu na kuzingatia kwa watu nitakaokuwa nawafundisha.