Nataka kufanya miss tanzania

Nataka kufanya miss tanzania

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,378
Reaction score
19,267
jamani wadau nimeambia na watu wengi wa karibu ikiwemo ndugu zangu nifanye mashindano ya umiss
sasa najua kuna kuanzia level za vitongoji na mambo mengine hapo katikati
nina vigezo vingi so far
urefu wa 165
sina tumbo(hata baadhi ya mamis)naona langu dogo kuliko yao
nina rangi ya brown inayoelekea weusi
nina nywele ndefu za wastan
nina figer ambayo si ya kibantu i mean model tu.
sura yangu kwa kweli ndo naitegemea sijichubui hata poda sipaki ila napendezwa machoni mwa watu
NILISHINDWA KUFANYA NIKIWA CHUO SABABU YA MUDA JAPO ILITOKEA NIKAJI EXPOSE KWA MAMBO HAYO KIDOGO SANAA KUTOKANA NA MASOMO NILIYOCHUKUA YA SAYANSI

TATIZO SINA UELEWA NA MAMBO HAYO KABISA
MWENYE UELEWA AMA ANAEJIU NAWEZA FANYA VIPI
ANIPM NITAMTUMIA PICHA NYINGI SANA YEYE MWENYEWE ATASEMA KUTOKANA NA UZOEFU NA NIFANYE NINI

plz nipo siriaz sana katika hili
 
okey mama that good idea ila endelea kujiweka natural alafu watakuja tu huku....
 
Jiandae kutafunwa na Lundenga na kamati yake,bila ya kutoa papuchi hakunaga ushindi...
 
Ukimaliza utuambie faida na hasara zake
 
jamani wadau nimeambia na watu wengi wa karibu ikiwemo ndugu zangu nifanye mashindano ya umiss
sasa najua kuna kuanzia level za vitongoji na mambo mengine hapo katikati
nina vigezo vingi so far
urefu wa 165
sina tumbo(hata baadhi ya mamis)naona langu dogo kuliko yao
nina rangi ya brown inayoelekea weusi
nina nywele ndefu za wastan
nina figer ambayo si ya kibantu i mean model tu.
sura yangu kwa kweli ndo naitegemea sijichubui hata poda sipaki ila napendezwa machoni mwa watu
NILISHINDWA KUFANYA NIKIWA CHUO SABABU YA MUDA JAPO ILITOKEA NIKAJI EXPOSE KWA MAMBO HAYO KIDOGO SANAA KUTOKANA NA MASOMO NILIYOCHUKUA YA SAYANSI

TATIZO SINA UELEWA NA MAMBO HAYO KABISA
MWENYE UELEWA AMA ANAEJIU NAWEZA FANYA VIPI
ANIPM NITAMTUMIA PICHA NYINGI SANA YEYE MWENYEWE ATASEMA KUTOKANA NA UZOEFU NA NIFANYE NINI

plz nipo siriaz sana katika hili

Pamoja na sifa zote hizo, una mume?
Ka huna na ushatolewa seal, basi hizo sifa huna pia.
 
Ni PM nipe contcts zako even now na supervise ma miss hapa wanafanya mazoezi kinondoni
 
jamani wadau nimeambia na watu wengi wa karibu ikiwemo ndugu zangu nifanye mashindano ya umiss
sasa najua kuna kuanzia level za vitongoji na mambo mengine hapo katikati
nina vigezo vingi so far
urefu wa 165
sina tumbo(hata baadhi ya mamis)naona langu dogo kuliko yao
nina rangi ya brown inayoelekea weusi
nina nywele ndefu za wastan
nina figer ambayo si ya kibantu i mean model tu.
sura yangu kwa kweli ndo naitegemea sijichubui hata poda sipaki ila napendezwa machoni mwa watu
NILISHINDWA KUFANYA NIKIWA CHUO SABABU YA MUDA JAPO ILITOKEA NIKAJI EXPOSE KWA MAMBO HAYO KIDOGO SANAA KUTOKANA NA MASOMO NILIYOCHUKUA YA SAYANSI

TATIZO SINA UELEWA NA MAMBO HAYO KABISA
MWENYE UELEWA AMA ANAEJIU NAWEZA FANYA VIPI
ANIPM NITAMTUMIA PICHA NYINGI SANA YEYE MWENYEWE ATASEMA KUTOKANA NA UZOEFU NA NIFANYE NINI

plz nipo siriaz sana katika hili


Uko tayari kugawa uroda kwa majaji na kuchezewa?
 
Tunaweza kupata kapicha kako hapa? Lundenga yupo humu humu jf au hujui ID yake?
 
tutaamin vip kama huna tumbo weka picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom