Nataka kufanya miss tanzania

Nataka kufanya miss tanzania

Kama ni kitu unachohitaji kukifanya fanya maamuzi chagua kitongoji cha karibu unachotaka kushiriki fatilia kwa ukaribu muda wa kuchukua fomu wataweka matangazo, utaenda kuchukua fomu hapo safari yako ndio itakuwa imeanza
 
Kama ni kitu unachohitaji kukifanya fanya maamuzi chagua kitongoji cha karibu unachotaka kushiriki fatilia kwa ukaribu muda wa kuchukua fomu wataweka matangazo, utaenda kuchukua fomu hapo safari yako ndio itakuwa imeanza
hawana email ama means yoyote ya kujua walipo especially kwa kitongoji nilichopo
 
hawana email ama means yoyote ya kujua walipo especially kwa kitongoji nilichopo

Siwezi kujua kitongoji ulichopo my dear ila ni wewe mwenyewe kutafuta na kujua kama kitongoji chako wanafanya mashindano ama la. Kama hawafanyi tafuta kitongoji wanachofanya hayo mashindano ukifatilia kwa ukaribu utajua siku ya kutoa fomu na kila kitu. Ukishachukua fomu safari ya ndoto yako ndio itakua imeanza
 
Siwezi kujua kitongoji ulichopo my dear ila ni wewe mwenyewe kutafuta na kujua kama kitongoji chako wanafanya mashindano ama la. Kama hawafanyi tafuta kitongoji wanachofanya hayo mashindano ukifatilia kwa ukaribu utajua siku ya kutoa fomu na kila kitu. Ukishachukua fomu safari ya ndoto yako ndio itakua imeanza

sawa mkuuu Asante
 
Ni pm nikuunganishe na wataalamu wa mambo hayo.
 
dah kuweka picha hapa naona mtihani kidogo ila kama sitapata maoni mazuri pm
NITAWEKA

uthithubutu kuweka picha au kupm stranger picha yako utajuta jaribu kuuuliza hapo unapoushi kama kuna kitongoji chochote au huwa wanatangazaga muda muafaka ukifika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom