Nataka kufahamu kuhusu jini maiti

ngoja nikupe jibu acha kuluka luka mwanamuke wa kiisilam hawez kwenda msikitin akiwa hedh kwa sababu mule kuna majin na chakula cha majin ni damu kwahiyo yatamufanya mbaya endapo ataenda akiwa hedh
mfyuuuu
 
Wakuu hivi huyu jini maiti kazi yake nini hasa?

Maana ninavyojua maiti hawezi kufanya kitu chochote sasa mtu akipandisha jini maiti inakuaje kuaje sasa?

Je jini maiti anatokea upande upi?

Je anauhusiana na jini Makata wa makatani, Subiani , Jini Simba ?Masai ?

Jamii ya Mswezi au anatokea wapi kwa mfano?
Mashabiki wa simba ndo hukumbwa na hilo jini

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
 
Aisee utakuwa wewe huujui uisilamu

Unajua kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda msikitini wakiwa hedh au period?

Je unajua kuwa majin yanasilimu na ni maisilamu menzenu?

Je unajua kuwa kuwa unapoungia msikitini ni lazima upulizwe katika kundu? Na majin

Je unajua kuwa majin yanamtii allah na yanasijilizaga quran kama kawaida?

Je unajua ni kwanini majin yote yana majina ya kiisilamu na yote husema yametoka makha?

Je unajua ni kwanini huwa mnaenda makha kumuponda mawe shetan?

Je unaweza kunipa utofauti kati ya mungu wako allah aliyekuandalia bikira 72 na ibilisi?
ayo maswali yote hujibiwa na swali moja tu *je kanisani na msikitini wapi ulisikia wanakemea mashetani*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja nikupe jibu acha kuluka luka mwanamuke wa kiisilam hawez kwenda msikitin akiwa hedh kwa sababu mule kuna majin na chakula cha majin ni damu kwahiyo yatamufanya mbaya endapo ataenda akiwa hedh
hv nyie wakristo hedhi kwenu ikoje au dini yenu pia hamuijui tatzo bibilia hadi musomewe jpili mstari mmoja kanisani ndio imetoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee utakuwa wewe huujui uisilamu

Unajua kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda msikitini wakiwa hedh au period?

Je unajua kuwa majin yanasilimu na ni maisilamu menzenu?

Je unajua kuwa kuwa unapoungia msikitini ni lazima upulizwe katika kundu? Na majin

Je unajua kuwa majin yanamtii allah na yanasijilizaga quran kama kawaida?

Je unajua ni kwanini majin yote yana majina ya kiisilamu na yote husema yametoka makha?

Je unajua ni kwanini huwa mnaenda makha kumuponda mawe shetan?

Je unaweza kunipa utofauti kati ya mungu wako allah aliyekuandalia bikira 72 na ibilisi?
Asee
 
OIG4 (2).jpeg
 

Attachments

  • OIG4 (1).jpeg
    OIG4 (1).jpeg
    19.5 KB · Views: 11
Back
Top Bottom