Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Subir dakika 3
Hahahah...nimecheka sana!Mkuu hv bangi zako hua unachanganya na mavi yako au
et jamaa wamekutukanaWakuu hivi huyu jini maiti kazi yake nini hasa?
Maana ninavyojua maiti hawezi kufanya kitu chochote sasa mtu akipandisha jini maiti inakuaje kuaje sasa?
Je jini maiti anatokea upande upi?
Je anauhusiana na jini Makata wa makatani, Subiani , Jini Simba ?Masai ?
Jamii ya Mswezi au anatokea wapi kwa mfano?
Usiongee usilolijua...na nyie kanisani yanayowaangusha ni nn yale?!!! Au kawaulize mapadri wenu mafuta ya dawa wanapewa na nani?!!... Majini hayaingii msikitini mule kuna Quran inasomwa hawapatani nayo..ila kanisani mnayo ..majini na Quran ni maji na mafuta..tunasoma Quran tu kuyaondoa..wakati nyie mnaongea lugha za kuzimu kuyaondoa..nyie na sisi nani anayafuga?!!...hovyoo mxiewwMambo hayo ni ya kisilamu ambayo majin had msikitin wanasali nayo wakiamin ni maisilamu wenzao
Aisee utakuwa wewe huujui uisilamuUsiongee usilolijua...na nyie kanisani yanayowaangusha ni nn yale?!!! Au kawaulize mapadri wenu mafuta ya dawa wanapewa na nani?!!... Majini hayaingii msikitini mule kuna Quran inasomwa hawapatani nayo..ila kanisani mnayo ..majini na Quran ni maji na mafuta..tunasoma Quran tu kuyaondoa..wakati nyie mnaongea lugha za kuzimu kuyaondoa..nyie na sisi nani anayafuga?!!...hovyoo mxieww
Acha tuyafahamu bhana unajua kufahamu kitu ni vizur kuliko kutokukifahamu hahaaaaa....itakusaidia kama ukiyahitaji au kuyakwepa na kuyakimbiza.....Humu jf mapepo yamekua mengi sana nowdays.
Wasenge kivipi mkuuJini Maiti Tena Alafu Hawa Majini Ni Wasenge Tu
Hahaaaa mkuu umemuweza akijibu niiteAisee utakuwa wewe huujui uisilamu
Unajua kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda msikitini wakiwa hedh au period?
Je unajua kuwa majin yanasilimu na ni maisilamu menzenu?
Je unajua kuwa kuwa unapoungia msikitini ni lazima upulizwe katika kundu? Na majin
Je unajua kuwa majin yanamtii allah na yanasijilizaga quran kama kawaida?
Je unajua ni kwanini majin yote yana majina ya kiisilamu na yote husema yametoka makha?
Je unajua ni kwanini huwa mnaenda makha kumuponda mawe shetan?
Je unaweza kunipa utofauti kati ya mungu wako allah aliyekuandalia bikira 72 na ibilisi?
Hahaaa HR 666 bwana umeita wampe ban halafu ukapewa wwCc Maxense mello
Cc Cookie
Cc Paw
Cc jamiiforums
Kuna mtu anatukana huku njoeni mumpe ban
Aiseee umemezeshwa uongo usiokua na dalili,,kwanza mwanamke wa kiislam kwenda msikitini sio lazma,na kbla sijakujibu kwa nn hatuingii masjd tukiwa period ujiulize kwa nn kumuingilia mtu akiwa periods sio vzuri..period ni uchafuuuu!!! Ndo maana mpka tutwahaharike ndo twende msikitini,..pia Mungu aliumba wanadam na majini ili wamuabudu..na makazi yao ni kwenye maji..ndio wanasoma Quran na wanatakiwa wasali vipindi vitano kama wanadaam..naona natoa povu kwa mtu ambae yupo kwa ajili ya kubisha..ila jmn mnalishwa uongo kuhusu uislam jmn..Mungu anawaonaAisee utakuwa wewe huujui uisilamu
Unajua kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda msikitini wakiwa hedh au period?
Je unajua kuwa majin yanasilimu na ni maisilamu menzenu?
Je unajua kuwa kuwa unapoungia msikitini ni lazima upulizwe katika kundu? Na majin
Je unajua kuwa majin yanamtii allah na yanasijilizaga quran kama kawaida?
Je unajua ni kwanini majin yote yana majina ya kiisilamu na yote husema yametoka makha?
Je unajua ni kwanini huwa mnaenda makha kumuponda mawe shetan?
Je unaweza kunipa utofauti kati ya mungu wako allah aliyekuandalia bikira 72 na ibilisi?
Wala hajamuweza kitu bado na yeye kaweka kitu asichokijua akielezea kila paragraph alizozipanga kwa ushahidi na ufasaha naomba uniite nijifunze kutoka kwakeHahaaaa mkuu umemuweza akijibu niite
Humu jf mapepo yamekua mengi sana nowdays.
ngoja nikupe jibu acha kuluka luka mwanamuke wa kiisilam hawez kwenda msikitin akiwa hedh kwa sababu mule kuna majin na chakula cha majin ni damu kwahiyo yatamufanya mbaya endapo ataenda akiwa hedhAiseee umemezeshwa uongo usiokua na dalili,,kwanza mwanamke wa kiislam kwenda msikitini sio lazma,na kbla sijakujibu kwa nn hatuingii masjd tukiwa period ujiulize kwa nn kumuingilia mtu akiwa periods sio vzuri..period ni uchafuuuu!!! Ndo maana mpka tutwahaharike ndo twende msikitini,..pia Mungu aliumba wanadam na majini ili wamuabudu..na makazi yao ni kwenye maji..ndio wanasoma Quran na wanatakiwa wasali vipindi vitano kama wanadaam..naona natoa povu kwa mtu ambae yupo kwa ajili ya kubisha..ila jmn mnalishwa uongo kuhusu uislam jmn..Mungu anawaona
Jambo usilolijua ni kama usiku wa gizangoja nikupe jibu acha kuluka luka mwanamuke wa kiisilam hawez kwenda msikitin akiwa hedh kwa sababu mule kuna majin na chakula cha majin ni damu kwahiyo yatamufanya mbaya endapo ataenda akiwa hedh
ha ha haaaa uwiiiiiMkuu hv bangi zako hua unachanganya na mavi yako au