Nataka kuacha kazi nijiajiri

Anko Kong

Senior Member
Jul 3, 2020
130
72
Habari zenu wadau,Mimi ni hotelia nataka kuacha kazi nijiajiri mwenyewe kwenye sekta ya kilimo kwasababu huku tunafanyishwa kazi Kama punda halafu mshahara mbuzi,nakaribisha maoni yenu wadau mlioacha kaz mkajiajiri mlifanyaje.
 
Habari zenu wadau,Mimi ni hotelia nataka kuacha kazi nijiajiri mwenyewe kwenye sekta ya kilimo kwasababu huku tunafanyishwa kazi Kama punda halafu mshahara mbuzi,nakaribisha maoni yenu wadau mlioacha kaz mkajiajiri mlifanyaje.
Sasa ukijiajiri mwenyewe ndio utafanya kazi mara punda zaidi ya 5000.
Hata ruhusa hakuna huku kwenye kujiajiri.
 
Mwamuzi wa mwisho wa hatma ya maisha yako hapa duniani ni wewe mwenyewe. Ukiona hiyo kazi ya kuajiriwa ni ngumu na hivyo unapenda kujiajiri, fanya tu vile moyo wako unapenda.

Muhimu tu uje utupe mrejesho baadaye maana ndiyo tunao utaka wengi wetu humu.
 
Dah... Kilimo


Labda cha mbogamboga
Habari zenu wadau,Mimi ni hotelia nataka kuacha kazi nijiajiri mwenyewe kwenye sekta ya kilimo kwasababu huku tunafanyishwa kazi Kama punda halafu mshahara mbuzi,nakaribisha maoni yenu wadau mlioacha kaz mkajiajiri mlifanyaje.
 
Dah... Kilimo


Labda cha mbogamboga
Kuna jirani yangu amelima Chinese nusu eka...! .unaelewa nilisema hakuna hata mtu mmoja anayehangaika na mboga zake..amechanganyikiwa...mboga inavutia balaa .ameipiga booster unaikubali lainiiii....
Kilimo kwa miaka hii inataka umaskini Sana Sana! Kuna siku kajitoa ufahamu kajaza tenga Zima..katuma kijana hakuuza hata fungu moja...sijui kwanini...! Nadhan kuangalia na aina ya mboga za kupanda
 
Kiukweli rafiki Kilimo ki ujumla ni pasua kichwa

Lakini huyo Jirani naye alijichanganya, yaani amelima nusu heka nzima ya Chinese bila kuandaa soko (nusu heka ya mboga mboga ni kubwa aisee)

Angeweza hata kwenda kwenye soko/hoteli kuwaomba wanunue mboga mboga kwake (awape sababu za kuhama kule walipo)

Pia kwa kuwa ndio ameanza, angeweza kuikata nusu heka mara 4, zipishane hata kwa wiki tatu au nne nne
Kuna jirani yangu amelima Chinese nusu eka...! .unaelewa nilisema hakuna hata mtu mmoja anayehangaika na mboga zake..amechanganyikiwa...mboga inavutia balaa .ameipiga booster unaikubali lainiiii....
Kilimo kwa miaka hii inataka umaskini Sana Sana! Kuna siku kajitoa ufahamu kajaza tenga Zima..katuma kijana hakuuza hata fungu moja...sijui kwanini...! Nadhan kuangalia na aina ya mboga za kupanda
 
Kiukweli rafiki Kilimo ki ujumla ni pasua kichwa

Lakini huyo Jirani naye alijichanganya, yaani amelima nusu heka nzima ya Chinese bila kuandaa soko (nusu heka ya mboga mboga ni kubwa aisee)

Angeweza hata kwenda kwenye soko/hoteli kuwaomba wanunue mboga mboga kwake (awape sababu za kuhama kule walipo)

Pia kwa kuwa ndio ameanza, angeweza kuikata nusu heka mara 4, zipishane hata kwa wiki tatu au nne nne
Ukiziona utabaki kushangaa..amepeleka mawenzi..Hilo fungu la Mia ukiliona...! Unafunga tatu kavu
 
Back
Top Bottom