Amani kwenu, mimi niko mbali na familia yangu kikazi.
One week ago, nilimpigia simu mke wangu zaidi ya mara 90 ndani ya masaa 12, bila kupokea, mwishoni akapokea bila kuongea, from the nikaendelea na business.
Jana ndo anabip, nataka anipe ukweli unless NARUDISHA KWAO.
Ushauri please
One week ago, nilimpigia simu mke wangu zaidi ya mara 90 ndani ya masaa 12, bila kupokea, mwishoni akapokea bila kuongea, from the nikaendelea na business.
Jana ndo anabip, nataka anipe ukweli unless NARUDISHA KWAO.
Ushauri please