Buzi Maarufu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 423
- 330
Tafadhali nipeni msaada wazoefu, msimu gani unafaa kwa kilimo cha mazao tajwa hapo juu,pamoja na gharama zitakazotumika kuhudumia,lengo langu ni 50M mtaji nilionao cash ni 10M ,lengo langu kuwa mkulima/mfanyabiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app