Natafuta wazazi wa hiari

Natafuta wazazi wa hiari

Huyu ni dume tena jitu zima,
Linataka kucheza na akili za watu halijui kama linajidumaza kiakili lenyewe,
Maana dume kujiita binti mmmh msiba huo kama sio uchuro.
 
Sishangai sababu najua ukishaweka post hapa unajiandaa kupokea lolote lile sababu kila mtu ana coment the way anavojisikia.

Kama vile wewe umekua ukiwajibu watu mkato na dharau za hali ya juu,
Wakati shida umeitangaza mwenyewe,
Hebu rejea comments zilizopita hlf jiulize ulikua sahihi kujibu vile??
 
Kama vile wewe umekua ukiwajibu watu mkato na dharau za hali ya juu,
Wakati shida umeitangaza mwenyewe,
Hebu rejea comments zilizopita hlf jiulize ulikua sahihi kujibu vile??

Nimewajibu hivo kulingana na maswali yao sababu wengine wamekua wakiuliza maswali ambayo hayahusiani kabisa na post yangu.
 
Nimewajibu hivo kulingana na maswali yao sababu wengine wamekua wakiuliza maswali ambayo hayahusiani kabisa na post yangu.

Tatizo post yako hukuitendea haki,
Huku weka wazi vitu vingi,
Mf. Umri wako,
Wazazi wako walipo,
Unaishi wapi,
Kwann umeamua kutafuta wazazi wa hiari n.k,

Ungeweka wazi hvy sidhan km ungepokea maswali mengi kwa
Wadau.
 
Tatizo post yako hukuitendea haki,
Huku weka wazi vitu vingi,
Mf. Umri wako,
Wazazi wako walipo,
Unaishi wapi,
Kwann umeamua kutafuta wazazi wa hiari n.k,

Ungeweka wazi hvy sidhan km ungepokea maswali mengi kwa
Wadau.

okay,nimekuelewa.
 
Mtoa mada ungejaribu kumwelewa Asprin.
Alikua na maana kubwa sana kuuliza vile.
Labda kwa sababu ya umri na mazingira...ila uyo mkuu ameona kitu kwako dada.
Jaribu kupitia hii thread kuanzia mwanzo utaona kwanini ndugu.
Kuna watu kweli wamekuudhi ila kuna wengine umewaonyesha jeuri bila sababu.
 
huyu kweli anamaanisha
atuambie wazazi wake halisi wako wapi na ana umri gani
na atuambie kwanini anatafuta wazazi humu kwani ustawi wa jamii hawawezi kumsaidia?

ukikubali kuwa mamake wa hiyari, mimi ntajitolea kuwa babake wa hiyari
 
Kama ushapata wazazi Hongera..Je Uncle unayee? Nipo hapa Mjomba wa Hiari
Whatapp±49 1575 6967 893
 
Back
Top Bottom