Natafuta wazazi wa hiari

Natafuta wazazi wa hiari

Aisee mi natafuta binti mzuri wa kazi anisaidie kazi za nyumbani kama upo tayari NiPM

Sitafuti kazi mkuu,kama unahitaji msichana wa kazi weka bandiko lako kwenye jukwaa la nafasi za kazi na tenda hope utampata msichana wa kukusaidia hizo kazi.
 
Jamani mnambabaisha mbona binti wa yatima jamani! mpeni uzazi anaotaka tafadharini
 
Kama ni bint jins nilivyokusoma hi post yko unaonekana adabu yako ipo zero! Haupo wazi pia si mnyenyekevu! Nakupa ushuhuda mm toka nmepata ufahamu sina baba wala mama ila mzazi wangu nilimweka kwenye imani ya dini! Mungu ni baba wa yatima. Leo nimekuwa mtu mzima sasa. Ushauri wangu njoo kwa Yesu yeye ndo mfaliji tosha. Nilipata mama wa hiyari alinifukuzaa. Falaja tosha ni kwa Yesu pekee na si kwa mwanadamu
 
Kama ni bint jins nilivyokusoma hi post yko unaonekana adabu yako ipo zero! Haupo wazi pia si mnyenyekevu! Nakupa ushuhuda mm toka nmepata ufahamu sina baba wala mama ila mzazi wangu nilimweka kwenye imani ya dini! Mungu ni baba wa yatima. Leo nimekuwa mtu mzima sasa. Ushauri wangu njoo kwa Yesu yeye ndo mfaliji tosha. Nilipata mama wa hiyari alinifukuzaa. Falaja tosha ni kwa Yesu pekee na si kwa mwanadamu

umemaliza?
 
Morning jf,

Mimi ni bint natafuta mom and daddy wa hiari ambaye atanipa maneno mazuri ambayo mzazi umpa mwanae ambaye atanifariji kama mzazi anavomfariji mwanae pia ambaye atanipenda kama mzazi ampendavyo mwanae nami nitafanya kama mtoto afanyavyo kwa mzazi wake daddy mom ni pm kama unahitaj mtoto wa hiari.

Kilichobaki sasa ni mume tu ndio atakuletea baba na mama wa hiar we ni pm plz
 
Agricola mbona kama nakujua,embu ni pm
 
Kama huhitaji mume hutapata na hupat wazaz wa hiar
 
Back
Top Bottom