BarakudaTabata ipi?
Asante kwa ushauri wako, tayari nimeweka picha.Umeshindwa kuweka hata picha ya bidhaa ndugu tangazo linaenda na picha jiongeze
SidhaniHivi hao Uduvi hawaliwi na binadamu?
Hivi hao Uduvi hawaliwi na binadamu...?
Barakuda sehemu gani?
Hapana karibu na shule ya msingi liwitiBarakuda sehemu gani ?
Upande wa Vingunguti au ?
Ukihitaji tunaweza kukutumia ingawa itabidi ulipie gharama za usafirishaji.Mbeya huwa mnapeleka?
oh sawaHapana karibu na shule ya msingi liwiti
Rahisi ni kusema kituo cha postaHapana karibu na shule ya msingi liwiti
Nina uduvi peke yake,kuhusu kipi bora kati ya uduvi na vumbi la dagaa sina jibu la moja kwa moja,,nijuavyo vyote vinatumika kama chakura cha mifugo,kama kuna wafugaji hapa wanaweza kufafanua zaidi.Rahisi ni kusema kituo cha posta
Hauna vichanganyishio vingine ni uduvi tu?
Swali la pili kati ya uduvi na vumbi la dagaa kipi ni bora zaidi?
Si ungeweka hata namba zako za simu iwe rahisi kuwasiliana na wewe? Au ndiyo hadi mteja afunge safari hadi huko Tabata Barakuda kisha aanze kuulizia watu anapopatikana Busekela muuza uduvi?Barakuda