Kibao cha mtaa wa jamhuri unaanzia pale bajeti yako umenipanga na mtaji wa kiasi ganiAhsante sana Richard, unaweza kunipa maelekezo kwa ukubwa? Kitumbini kwa upande upi maana pale naona Khanga na Vitenge vimetamalaki,
Natanguliza shukrani.
Nasikia ni bei ni nafuu changamoto ni Kodi kuleta nchiniHivi vitu bhana,km unamtaji mkubwa au siku ukiwa na mtaji mkubwa,Kuna nchi moja nahisi Zambia,utapata kwa Bei nafuu Sana sema taratibu zao ndo sijui Ila Kuna bro wangu alikuwa anapiga hizo Mambo
Yaa,ndo Mana Basi aliacha Ila kwa vijuice na bites ni Bomba SanaNasikia ni bei ni nafuu changamoto ni Kodi kuleta nchini
Shukrani sana Investo kwa ushauri mzuri, ngoja tufunge mkanda nasi tufike huko ZambiaHivi vitu bhana,km unamtaji mkubwa au siku ukiwa na mtaji mkubwa,Kuna nchi moja nahisi Zambia,utapata kwa Bei nafuu Sana sema taratibu zao ndo sijui Ila Kuna bro wangu alikuwa anapiga hizo Mambo
KitumbiniWakuu amani?
Nahitaji kufungua duka la vitu vitamu tu kama Candy, Chocolate, Chewing gums, nakadhalika,
Naombwa kujuza wapi napata vitu hivyo kwa jumla jiji Dar es salaam?
Natanguliza shukrani