Natafuta wafanyakazi wa saluni ya kike

Natafuta wafanyakazi wa saluni ya kike

True Man11

Member
Joined
Oct 14, 2022
Posts
95
Reaction score
139
Habari za majukumu,

nimefungua salon mpya ya kisasa ya kike ambayo nalenga kutoa huduma zote za urembo wa kike kama vile,
kusuka
make-up
facial
Kupaka rangi
kuosha miguu
na nyinginezo nyingii

salon ipo kimara suka - dar es salaam,

kama wewe ni mjuzi wa hizo huduma au unafahamiana na mtu yoyote hata akiwa nje ya mkoa pia nitapokea, hata kama hutaki kuajiriwa una wateja wako utataka kutumia officen kwangu ili ufanye kazi zako pia utaruhusiwa.

naomba tuwasiliane moja kwa moja whatsApp 0658 644 485
 
Habari za majukumu,

nimefungua salon mpya ya kisasa ya kike ambayo nalenga kutoa huduma zote za urembo wa kike kama vile,
kusuka
make-up
facial
Kupaka rangi
kuosha miguu
na nyinginezo nyingii

salon ipo kimara suka - dar es salaam,

kama wewe ni mjuzi wa hizo huduma au unafahamiana na mtu yoyote hata akiwa nje ya mkoa pia nitapokea, hata kama hutaki kuajiriwa una wateja wako utataka kutumia officen kwangu ili ufanye kazi zako pia utaruhusiwa.

naomba tuwasiliane moja kwa moja whatsApp 0658 644 485
Chonde chonde, Usisahau kutuwekea chumba chetu kile cha deep massage na warembo wa kufa mtu.
 
Back
Top Bottom