Natafuta vitabu vya `usalama/security/intelligence`

YAHAYAMOHAMED1970

JF-Expert Member
Apr 21, 2015
229
96
Hello wadau; Binafsi napenda kujisomea sana. Naomba yeyote aliye na current textbooks (softcopy) ya mambo ya usalama wa taifa aweke hapa ili anayependa download. Namaanishi vitabu vyenye ABC za mambo ya usalama. Huwa najaribu kutafuta online nakosa, vingi ni vya kununua. Simaanishi story textbooks za usalama. Naomba vitabu vyenyewe vya mambo ya usalama.

NAWASILISHA
 
Hello wadau; Binafsi napenda kujisomea sana. Naomba yeyote aliye na current textbooks (softcopy) ya mambo ya usalama wa taifa aweke hapa ili anayependa download. Namaanishi vitabu vyenye ABC za mambo ya usalama. Huwa najaribu kutafuta online nakosa, vingi ni vya kununua. Simaanishi story textbooks za usalama. Naomba vitabu vyenyewe vya mambo ya usalama.

NAWASILISHA

Wewe ni yule aliyekua mtangazaji wa Star TV,..Yahaya Mohamed_asked out of curiosity.
 
Hello wadau; Binafsi napenda kujisomea sana. Naomba yeyote aliye na current textbooks (softcopy) ya mambo ya usalama wa taifa aweke hapa ili anayependa download. Namaanishi vitabu vyenye ABC za mambo ya usalama. Huwa najaribu kutafuta online nakosa, vingi ni vya kununua. Simaanishi story textbooks za usalama. Naomba vitabu vyenyewe vya mambo ya usalama.

NAWASILISHA

Embu pitia hii kidogo
 
Asante sana, naona hii ni sheria. Nilikuwa natafuta `madesa` ya hii taaluma nijue abc zao. Napenda kujifunza zaidi na zaidi mambo tofauti
 
Hello wadau; Binafsi napenda kujisomea sana. Naomba yeyote aliye na current textbooks (softcopy) ya mambo ya usalama wa taifa aweke hapa ili anayependa download. Namaanishi vitabu vyenye ABC za mambo ya usalama. Huwa najaribu kutafuta online nakosa, vingi ni vya kununua. Simaanishi story textbooks za usalama. Naomba vitabu vyenyewe vya mambo ya usalama.

NAWASILISHA

Nielekeze namana ya kuattach pdf kwanza!
 
Back
Top Bottom