Natafuta vijana wenzangu tuweze kuungana na kutafakari nin tufanye ili tuweze kupata kipato

Don 01

Member
Feb 23, 2017
27
24
Habari zenu wana janvi., mimi ni mhitimu wa chuo kikuu mda mrefu sasa. Nimepambana sehem tofauti tofauti bila kufanikisha malengo na nimeenda mpaka kwenye migodi midogomidogo kutafuta ridhiki lakini napo sikufanikisha.

Mwaka huu nililima ekari moja ya vitunguu huko Singida kwa bahati mbaya kama mnavyojuwa ukame wa mwaka huu ni sheeda, vitunguu vimeungua na hakuna tena matarajio. Nia na madhumuni ya kupambana hivyo ni kutafuta namna ya kutafuta mtaji na kujiajiri maana kujiajiri kuna changamoto kubwa sana ya Mtaji.

Ninaomba kama kuna kijana au kikundi ambacho tunaweza kukutana na kutafakari kwa kina nin cha kufanya tutafutane, ila uaminifu ni kitu cha msingi zaidi maana mimi naamin uaminifu ni dhamana kubwa.Mim napatikana Dar es Salam ila nipo tayari kwenda popote ndani ya Tz kwa ajili ya kufanya kazi iliyo halali.

Kwa pamoja tunaweza na penye nia pana njia. Natanguliza shukran zangu za dhati an karibuni sana hata kwa ushauri tu maana kila siku kichwa kinaniuma. Kuna watu wanapitia magum mengi mpaka kuja kufanikisha kikubwa ni kutokata tamaa.
 
weka namba ya simu hapo na tutengeneze kikundi cha mawasiliano ili tujue tunakutana wapi tujadiri suala hili maana wengine bando mzozo
 
Habari zenu wana janvi., mim ni mhitimu wa chuo kikuu mda mrefu sasa. Nimepambana sehem tofauti tofauti bila kufanikisha malengo na nimeenda mpaka kwenye migodi midogomidogo kutafuta ridhiki lakini napo sikufanikisha. Mwaka huu nililima ekari moja ya vitunguu huko Singida kwa bahati mbaya kama mnavyojuwa ukame wa mwaka huu ni sheeda, vitunguu vimeungua na hakuna tena matarajio. Nia na madhumuni ya kupambana hivyo ni kutafuta namna ya kutafuta mtaji na kujiajiri maana kujiajiri kuna changamoto kubwa sana ya Mtaji. Ninaomba kama kuna kijana au kikundi ambacho tunaweza kukutana na kutafakari kwa kina nin cha kufanya tutafutane, ila uaminifu ni kitu cha msingi zaidi maana mim naamin uaminifu ni dhamana kubwa.Mim napatikana Dar es Salam ila nipo tayari kwenda popote ndani ya Tz kwa ajili ya kufanya kazi iliyo halali. Kwa pamoja tunaweza na penye nia pana njia. Natanguliza shukran zangu za dhati an karibuni sana hata kwa ushauri tu maana kila siku kichwa kinaniuma. Kuna watu wanapitia magum mengi mpaka kuja kufanikisha kikubwa ni kutokata tamaa.
daaaa mawazo mazuri sana, nakutakia kila la kheri najua utashinda, weka namba uwasiliane na wadau
 
Habari zenu wana janvi., mim ni mhitimu wa chuo kikuu mda mrefu sasa. Nimepambana sehem tofauti tofauti bila kufanikisha malengo na nimeenda mpaka kwenye migodi midogomidogo kutafuta ridhiki lakini napo sikufanikisha. Mwaka huu nililima ekari moja ya vitunguu huko Singida kwa bahati mbaya kama mnavyojuwa ukame wa mwaka huu ni sheeda, vitunguu vimeungua na hakuna tena matarajio. Nia na madhumuni ya kupambana hivyo ni kutafuta namna ya kutafuta mtaji na kujiajiri maana kujiajiri kuna changamoto kubwa sana ya Mtaji. Ninaomba kama kuna kijana au kikundi ambacho tunaweza kukutana na kutafakari kwa kina nin cha kufanya tutafutane, ila uaminifu ni kitu cha msingi zaidi maana mim naamin uaminifu ni dhamana kubwa.Mim napatikana Dar es Salam ila nipo tayari kwenda popote ndani ya Tz kwa ajili ya kufanya kazi iliyo halali. Kwa pamoja tunaweza na penye nia pana njia. Natanguliza shukran zangu za dhati an karibuni sana hata kwa ushauri tu maana kila siku kichwa kinaniuma. Kuna watu wanapitia magum mengi mpaka kuja kufanikisha kikubwa ni kutokata tamaa.
Kijana wa kwanza nishapatikana, nasubiri wengine.
 
Kijana wa kwanza nishapatikana,
emoji4.png
nasubiri wengine.
Kwa walio tayari vijana wenzangu tuwasiliane mnaweza hata kunitumia meseji maana mi nipo serious sana
 
Habari zenu wana janvi., mim ni mhitimu wa chuo kikuu mda mrefu sasa. Nimepambana sehem tofauti tofauti bila kufanikisha malengo na nimeenda mpaka kwenye migodi midogomidogo kutafuta ridhiki lakini napo sikufanikisha. Mwaka huu nililima ekari moja ya vitunguu huko Singida kwa bahati mbaya kama mnavyojuwa ukame wa mwaka huu ni sheeda, vitunguu vimeungua na hakuna tena matarajio. Nia na madhumuni ya kupambana hivyo ni kutafuta namna ya kutafuta mtaji na kujiajiri maana kujiajiri kuna changamoto kubwa sana ya Mtaji. Ninaomba kama kuna kijana au kikundi ambacho tunaweza kukutana na kutafakari kwa kina nin cha kufanya tutafutane, ila uaminifu ni kitu cha msingi zaidi maana mim naamin uaminifu ni dhamana kubwa.Mim napatikana Dar es Salam ila nipo tayari kwenda popote ndani ya Tz kwa ajili ya kufanya kazi iliyo halali. Kwa pamoja tunaweza na penye nia pana njia. Natanguliza shukran zangu za dhati an karibuni sana hata kwa ushauri tu maana kila siku kichwa kinaniuma. Kuna watu wanapitia magum mengi mpaka kuja kufanikisha kikubwa ni kutokata tamaa.
Weka BC nambaa
 
Good idea bro, usemacho n uthubutu tu, mm ni mmoja wa vijana niyekwenye umoja unaoitwa GDI, tunajishughulisha na kilimo cha matunda na mbogamboga, last season tulilima na tumevuna, malengo yetu n kampuni kubwa hapo baadae! Wish to join u in our community, coz tunaenda vizur sana!
Kama utawiwa nicheki 0652603278
nntugwa@gmail.com
 
pitia hapa fursa kwa wale wenye mtaji kuanzia laki moja na nusu.......
tafuta uzi huu
 
Back
Top Bottom