Zee la choji
Member
- May 15, 2016
- 70
- 181
😀😀😀 Alooh weeehYeye anazungumzia tofali zile wazungu wanaita bricks sio tofari za block
😀😀😀 Alooh weeehYeye anazungumzia tofali zile wazungu wanaita bricks sio tofari za block
Good Idea 💡💡💡👏Unga kilo buku ukichukua mashineni, maharage unanunua kwa jumla bei inapungua, dagaa wa mwanza na nyanya chache pilipili kama zote; hapo msosi wa kibarua tayari, wapikie vijana wapige kazi.
Ukikakaa nao vizuri kuna baraka zake.
Chanel inakupa chanel.Elfu tano kila siku kazi ya kufyatua tofali unafanya masihara nn wewe? Kila la heri kweli sio masikhara
Bodaboda umeacha tena?Elfu tano kila siku kazi ya kufyatua tofali unafanya masihara nn wewe? Kila la heri kweli sio masikhara
Boda hailipi jololo nipe dili la kulipwa deiBodaboda umeacha tena?
Kaz ngum sio za kulipwa buku 5 mkuu utakufa mapema.. tofali bora saidia fundiChanel inakupa chanel.
Mamantilie kwasiku anakula elfu 3 mpaka 5 na anaenda kazn na anafamilia
We jamaa fala sana kijijini kwenyewe wanalipa 7000 kutoka saa moja na nusu Hadi saa 10 na chakula Cha mchana unapewa .Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele
Kwanini hiyo kazi usiifanye wewe na watoto wako?Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele
Kwaiyo hayo machuma saba ya SIDO tayari ushajiona tajiri kweli Tanzania hakuna masikini maana hata mwenye bodaboda saba naye atajiita tajiriMimi pesa ninazo Nina mashine za kufyatulisha matofali dar sehemu 7 na ajiri masikini kama wewe
Tafuta helaKwaiyo hayo machuma saba ya SIDO tayari ushajiona tajiri kweli Tanzania hakuna masikini maana hata mwenye bodaboda saba naye atajiita tajiri
Tafuta hela siwezi kukulipa hiyo pesa Kwa kazi ya kuchezea mchangaWe jamaa fala sana kijijini kwenyewe wanalipa 7000 kutoka saa moja na nusu Hadi saa 10 na chakula Cha mchana unapewa .
Hio 5000 kalale mbele
Wewe ndo utafute hela ili uache kujiita tajari kwa kumiliki mavyuma chakavu saba hata ukienda kupima mzani hupati lakiTafuta hela
Tafuta helaWewe ndo utafute hela ili uache kujiita tajari kwa kumiliki mavyuma chakavu saba hata ukienda kupima mzani hupati laki
Sehemu nyingi elfu 5 ni bei ya kufyatua mfuko mmoja. Lakini hii ya kwako elfu 5 kwa siku sidhani kama kuna mtu atakufuata.Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele
Wakati unasema hvyo kunamtu anaomba kazi yoyoteKaz ngum sio za kulipwa buku 5 mkuu utakufa mapema.. tofali bora saidia fundi
Mtu anapo omba kazi yoyote hamaanishi kwa malipo yoyoteWakati unasema hvyo kunamtu anaomba kazi yoyote
Kazi ya kuchezea mchanga? Ok chezea wewe,mkeo na watoto wako..Tafuta hela siwezi kukulipa hiyo pesa Kwa kazi ya kuchezea mchanga
hahahKazi y
Kazi ya kuchezea mchanga? Ok chezea wewe,mkeo na watoto wako..
Hamna natafutaga masikini kama wewe Ili niwalipe 5000 mchezee. MchangaKazi y
Kazi ya kuchezea mchanga? Ok chezea wewe,mkeo na watoto wako..