Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 2,264
- 3,585
Members wa jf wengi wao huingiza 5000+ per second, so hao wa kuwalipa 5000 per day anaweza wapata huko fb.Hutawapata JF
Members wa jf wengi wao huingiza 5000+ per second, so hao wa kuwalipa 5000 per day anaweza wapata huko fb.Hutawapata JF
Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele
Ukiitwa hiv ujue kinachofata ni kibomHahahah sikapendi hako Ka msemo...😀
Elf Tano kutwa kula juu yake, hebu ajiri hata ndugu zako utakuwa umewasaidia,Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele
Hata mim nafahamu hivyo kwamba kufyatua tofauli kwa Gharama ya mfuko mmoja, Mfano huku kwetu mfuko mmoja wa saruji ni 4000- 5000 kutokana na maelewano. Kwahyo raia wakikupigia mifuko 20 ya wanaondoka kama na 80k mpaka 100k.Utaibiwa cement wewe na tofali ,,elfu tano kwa siku? Wenzako wanahesabiana kwa mfuko ,kufyatua mfuko mmoja ni Tsh 5000.
Ndugu zangu sio masikiniKwanini usiwaajiri ndugu zako?,Huna ndugu?
Kama siyo masikini kwanini wasikupe mtaji ukafanya biashara kubwa ukaachana na biashara za kimasikini za ufyatuaji wa tofali?Ndugu zangu sio masikini
Yes ndivyo mafundi wanavyofanya mapatano ni kwa mfuko ,hakuna hata mmoja atakayekubali kuajiriwa kwa mkataba huo wa elfu 5 kwa siku ,kama wakikubali hapo jua kuna kitu wanataka wakifanya kama sio kumuibia cement basi kumuibia tofali.Hata mim nafahamu hivyo kwamba kufyatua tofauli kwa Gharama ya mfuko mmoja, Mfano huku kwetu mfuko mmoja wa saruji ni 4000- 5000 kutokana na maelewano. Kwahyo raia wakikupigia mifuko 20 ya wanaondoka kama na 80k mpaka 100k.
Mimi pesa ninazo Nina mashine za kufyatulisha matofali dar sehemu 7 na ajiri masikini kama weweKama siyo masikini kwanini wasikupe mtaji ukafanya biashara kubwa ukaachana na biashara za kimasikini za ufyatuaji wa tofali?
Fata huu ushauri mkuuKwanini usiwaajiri ndugu zako?,Huna ndugu?
Jidanganye tuMembers wa jf wengi wao huingiza 5000+ per second, so hao wa kuwalipa 5000 per day anaweza wapata huko fb.
Mtu afyetue tofali siku mzima afu alipwe buku 5, hii ni modern slavery.Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele
Huyo ni maskini anayelazimisha aitwe Boss.That's too much bro, mtu akila tangu asbh mpaka jion anabaki na nn hapo? jamn hebu tuwe na utu na hawa vijana wetu. Kama unaweza wape offer ya chakula au walipe per unit, Kila tofali moja mpe mtu mia ili watu wajipimie kazi..natanguliza shukrani.
Sidhani kama hiyo kazi unaijua vizuri, kazi inayotaka mtu ale hasa na ashibe maana nguvu inatumika sana, sasa hiyo elf 5000?...mtu wa kawaiida ukikodisha mashine wanachaji elf kwa mfuko! Je hapo wapige mifuko 10 na kuendelea?...hutoboi.Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji nimeamua kutoa ajira Kwa vijana wenzangu Ili tuweze kusonga mbele