Mwathirika
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 207
- 32
Umeanzisha timu ya mchezo?
Kiongozi uwe serious kidogo, nimeweka contact yangu hapo lakini bado unataka niku-PM !!!! Nimeomba unipigie au utume sms au utumie watsapp tufanye biashara, huko pm kunanini wakati namba yangu ipo hapa hapa[HASHTAG]#roga[/HASHTAG] roga kuna viwanja vipo maeneo ya kihonda mji mpya karibu na shule ya secondari ya mji mpya, ni vya mzee wangu na jizi juzi alikua akitafuta mteja. kam hutajali niku pm namba yake uongee nae mwenyewe na bei yako hatakataa japo ni vikubwa
Hiki cha Kihonda Kilimanjaro kinaukubwa gani na ni kiasi gani?Nitafute ndg yangu ninavyo viwili kimoja kiko karibu na watumishi housing, kingine kiko kihonda Kilimanjaro karibu na yespa sec school nitafute kwa namba hizi 0713449460/0755206666/0621078130/0784449460