Natafuta used marine boards

Natafuta used marine boards

moffee

Member
Joined
Sep 3, 2007
Posts
83
Reaction score
11
Habarini nyote,

Natufuta Used Marine Board ili nimalizie ka ujenzi kangu.
kama kuna mtu anazo tafadhari tujilishane.
 
Hebu tafuta humuhumu, siku si nyingi kuna jamaa alikua anauza, pekuapekua humuhumu taratibu tu.!
 
Yeah nimeambiwa na jamaa yangu kuwa kunajamaa alikuwa anauza si siku nyingu humuhumu nimepekuwa weeeehata sioni.... duh au kisha maliza mzigo nini?
 
Ukisema used unamaanisha nini hasa? unataka scrapper, yaani haitembei kabisa, au utapenda linalotembea pia? Boat pia hua zinauzwa na injini au bila injini. Kuna rafiki yangu anauza boti yake, inatembea dola 6500, iko tanga. nk
 
Kiongozi mimi sitafuti Marine Boats. Hapana. Unajua vifaa vitumikavyo kwenye kwenye ujenzi kuna boards zinitwa marine boards, hizi hutumika kufungia kwa ajili ya kumwaga zege kwenye kuta na ring beams. Hizi ndizo ninazo tafuta mimi.
 
Ukiwa nazo nipigie simu number +255 443 443 tuweke mambo sawa.
 
sorry, number yangu imemiss ni +255 754 443 443
 
Ukisema used unamaanisha nini hasa? unataka scrapper, yaani haitembei kabisa, au utapenda linalotembea pia? Boat pia hua zinauzwa na injini au bila injini. Kuna rafiki yangu anauza boti yake, inatembea dola 6500, iko tanga. nk
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nipo Dar kaka.
Kwani Iringa huwezi uza kwa wato wasio ishi huko.
Nipigie basi tuongee. 0754 443 443
 
Back
Top Bottom