Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

harusi ni ya wanaume.. nashangaa ukumbi unatafutwa na mdada..

harusi za budget kubwa huwa hazijagi jamiiforums humu kutafuta ukumbi au msaada wa huduma yeyote...

maana kila kitu kinajulikana hata instagram na ukiuliza mtaani wanaeleweka nani watoa huduma wazuri..

sitaki kuamini kamati iliyokusanya milioni 36 haijitambui majukumu yake na kumwachia bibi harusi kazi ya kutafuta ukumbi na huduma zingine huku harusi ni jukumu lao kamati na familia ya mwanaume,,,,hata ukumbi wategemee msaada wa jamii forums..

mimi ningemuelewa kama angesema anatafuta ukumbi nafuu.. ila ukumbi wa harusi yenye budget milion 36 sizani kama ni kitu cha kuwaza sana...

sababu kumbi nzuri nyingi ni around 2m tu..
Labda kwa kifupi tuu, Mimi na mwenzangu hatufanyi vikao na hatuna Kamati, hicho ni kiasi kidogo tulichojiwekea wenyewe ili kufanikisha swala letu, hatuna watu wa kutuwezesha hivyo, na ungesoma vizuri juu nimesema ni joint wedding inamaana hata yeye anaweza kufatilia mtu wa Mapambo wakati Mimi nafatilia ukumbi.
Nia yetu ni kuwakusanya ndugu jamaa na marafiki zetu kukaa nao pamoja, lakini kila tunayemuomba msaada ya wedding venue wanataja kumbi zinazoingiza watu wachache mfano Maratha ya Msimbazi inapokea watu 350 tuu, sisi tutakuwa zaidi ya 450

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni msaada kwa anayefahamu ukumbi au bustani nzuri ya kufanyia Harusi dar es salaam, yenye uwezo wa kuingiza watu 450-500 (joint wedding). Isiwe na masharti sana ya kuchukua kila kitu hapo hapo, wahusika watatokea Tabata na upanga. Natanguliza shukrani kwa majibu nitakayopata

Sent using Jamii Forums mobile app
Twende Tembon garden mbezi kimara.utapenda na roho yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom