Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

Okay Asante sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Umuhimu wa services kama hizo kuwa hapo hapo inapunguza migongano kwa wana kamati kutaka kuleta watu wao ili wapige 10%, pia mfano vinywaji vikiisha store iko around mnaongea vinaongezeka.

Kumbi nyingi zinajitahidi sana kwenye vyakula na mapambo siku hizi kwa sababu za kiushindani, hivyo usiwe na wasiwasi kuhusu hilo swala.

Advise zaidi: kumbi zote utakazoenda kuvisit nenda na mtarajiwa wako ili mfanye chaguo pamoja.

Kwa location ya wageni kutokea Upanga na Tabata, nadhani Sinza inaweza kuwa Centre nzuri, kuna kumbi kama Deluxe (iko Kijiweni), kuna ukumbi uko opposite na Big Bonn (Sinza Mori), pia kuna ukumbi uko barabara ya kutokea Sinza Makaburini kuelekea Kobil (Sam Nujoma), siukumbuki jina vizuri ni kitu kama Elegance or so. Hakikisha unatembelea hizo kumbi, moja kati ya hizo kwa budget yenu itakufaa.
 
Umuhimu wa services kama hizo kuwa hapo hapo inapunguza migongano kwa wana kamati kutaka kuleta watu wao ili wapige 10%, pia mfano vinywaji vikiisha store iko around mnaongea vinaongezeka.

Kumbi nyingi zinajitahidi sana kwenye vyakula na mapambo siku hizi kwa sababu za kiushindani, hivyo usiwe na wasiwasi kuhusu hilo swala.

Advise zaidi: kumbi zote utakazoenda kuvisit nenda na mtarajiwa wako ili mfanye chaguo pamoja.

Kwa location ya wageni kutokea Upanga na Tabata, nadhani Sinza inaweza kuwa Centre nzuri, kuna kumbi kama Deluxe (iko Kijiweni), kuna ukumbi uko opposite na Big Bonn (Sinza Mori), pia kuna ukumbi uko barabara ya kutokea Sinza Makaburini kuelekea Kobil (Sam Nujoma), siukumbuki jina vizuri ni kitu kama Elegance or so. Hakikisha unatembelea hizo kumbi, moja kati ya hizo kwa budget yenu itakufaa.
Asante sana, Asante Kwa ushauri pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bajeti ndogo kivipi wakati umesema una 36 millions. Sasa kutoa 5.7 million kuna effect gani.

harusi ni ya wanaume.. nashangaa ukumbi unatafutwa na mdada..

harusi za budget kubwa huwa hazijagi jamiiforums humu kutafuta ukumbi au msaada wa huduma yeyote...

maana kila kitu kinajulikana hata instagram na ukiuliza mtaani wanaeleweka nani watoa huduma wazuri..

sitaki kuamini kamati iliyokusanya milioni 36 haijitambui majukumu yake na kumwachia bibi harusi kazi ya kutafuta ukumbi na huduma zingine huku harusi ni jukumu lao kamati na familia ya mwanaume,,,,hata ukumbi wategemee msaada wa jamii forums..

mimi ningemuelewa kama angesema anatafuta ukumbi nafuu.. ila ukumbi wa harusi yenye budget milion 36 sizani kama ni kitu cha kuwaza sana...

sababu kumbi nzuri nyingi ni around 2m tu..
 
harusi ni ya wanaume.. nashangaa ukumbi unatafutwa na mdada..

harusi za budget kubwa huwa hazijagi jamiiforums humu kutafuta ukumbi au msaada wa huduma yeyote...

maana kila kitu kinajulikana hata instagram na ukiuliza mtaani wanaeleweka nani watoa huduma wazuri..

sitaki kuamini kamati iliyokusanya milioni 36 haijitambui majukumu yake na kumwachia bibi harusi kazi ya kutafuta ukumbi na huduma zingine huku harusi ni jukumu lao kamati na familia ya mwanaume,,,,hata ukumbi wategemee msaada wa jamii forums..

mimi ningemuelewa kama angesema anatafuta ukumbi nafuu.. ila ukumbi wa harusi yenye budget milion 36 sizani kama ni kitu cha kuwaza sana...

sababu kumbi nzuri nyingi ni around 2m tu..
Si harusi zote zinafanywa na Wanaume....
Si harusi zote zina changiwa na Ndugu na Marafiki....
Si harusi zote zina Manakamati....
 
harusi ni ya wanaume.. nashangaa ukumbi unatafutwa na mdada..

harusi za budget kubwa huwa hazijagi jamiiforums humu kutafuta ukumbi au msaada wa huduma yeyote...

maana kila kitu kinajulikana hata instagram na ukiuliza mtaani wanaeleweka nani watoa huduma wazuri..

sitaki kuamini kamati iliyokusanya milioni 36 haijitambui majukumu yake na kumwachia bibi harusi kazi ya kutafuta ukumbi na huduma zingine huku harusi ni jukumu lao kamati na familia ya mwanaume,,,,hata ukumbi wategemee msaada wa jamii forums..

mimi ningemuelewa kama angesema anatafuta ukumbi nafuu.. ila ukumbi wa harusi yenye budget milion 36 sizani kama ni kitu cha kuwaza sana...

sababu kumbi nzuri nyingi ni around 2m tu..
Kuna ukumbi upo karibu na La charz bar..ni mkubwa na parking nzuri + security

Pitia upaone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Budget kunduchi hautojutia harusi yako.
 
Bajeti ndogo kivipi wakati umesema una 36 millions. Sasa kutoa 5.7 million kuna effect gani.

Ukumbi utoe 5.7m kwa watu 400 (mind you, ukiongeza mtu ikavuka 400 itakuwa 11.4m)

MC kwa Mlimani City wanachaji 3m+, mapambo ni almost 4m. Vinywaji, misosi nk.

Mlimani City usipachezee kabisa, 40 inaweza kukatika na ukadaiwa.
 
Si harusi zote zinafanywa na Wanaume....
Si harusi zote zina changiwa na Ndugu na Marafiki....
Si harusi zote zina Manakamati....

Hata kama zimechangiwa na wanakamati, ultimate decision ya ukumbi wa harusi na issue za mapambo zinakuwa dealt na bibi harusi mtarajiwa. Bwana harusi mtarajiwa unakuwa naye bega kwa bega ila sana una rely kwenye choice yake.

Wanaume wengi huwa ni tasteless kwenye issue za mapambo, na ukumbi unaendana sana na mapambo, unaweza jikuta mtu kanuna harusini bure, ila kama ni decision aliyohusika hakuna kununa.

Wanakamati wanapenyezewa jina tu wanapitisha, as long as iko within budget.
 
Back
Top Bottom