Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

Natafuta ukumbi wa Harusi -dar

Joined
Sep 8, 2018
Posts
84
Reaction score
67
Naombeni msaada kwa anayefahamu ukumbi au bustani nzuri ya kufanyia Harusi dar es salaam, yenye uwezo wa kuingiza watu 450-500 (joint wedding). Isiwe na masharti sana ya kuchukua kila kitu hapo hapo, wahusika watatokea Tabata na upanga. Natanguliza shukrani kwa majibu nitakayopata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harusi ni tar ngapi, bajeti ni kiasi gani?

Ukiweka wazi hizo kitu inakuwa ni rahisi wadau kukupa majibu sawia.

BTW ni wewe unayeolewa?

Mwenzio kataka kujua kumbi , wewe ungemtajia unazozijua lakin wewe wataka kujua bajeti ya harusi sijui tarehe ya harusi vya nn kwako? We mtajie kumbi vingine atapambana mwenyewe
 
Mwenzio kataka kujua kumbi , wewe ungemtajia unazozijua lakin wewe wataka kujua bajeti ya harusi sijui tarehe ya harusi vya nn kwako? We mtajie kumbi vingine atapambana mwenyewe

Hayo maswali yanasaidia kutaja kumbi ambazo ni relevant.

Hilo zoezi kama hujawahi kuhusika hata kidogo huwezi kuelewa umuhimu wa hayo maswali.
 
DIAMOND JUBILEE UKUMBI FULL AC ZOTE MKUBWA NA MDOGO...NA PARKING WITH SECURITY ….MAGARI LUKUKI UPANHA EASY REACHABLE
ENJOY YOUR WEDDING KUMBUKENI KUPIMA KWANZA....AFYA ZENU
 
Swala la vinywaji, mapambo na vyakula mara nyingi huwa ni hapo hapo. Na ni vizuri ikiwa hapo hapo inaepusha vitu vingi sana.
 
Back
Top Bottom