Natafuta tiba ya Depression

Natafuta tiba ya Depression

jaribu kutumia maji mengi kunywa, mazoezi, upate mda wa kumpuzika na kufanya kile kitu ambacho unakipenda sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa hii mada kweli JF nzuri sana ni hivi mke wangu alikuwa na depression mwaka 1996 akaenda kwa Dr akapewa vidonge vya amptryline hata hivyo akapewa ushauri na mtu atumie water therapy anakunywa lita moja ya maji vuguvugu kabla hajalala.Kwa sasa ni mzima.Nikaja kugundua kumbe depression yake ilikuwa ni wivu wa mapenzi kuogopa ukimwi kumbe mimi siko huko sasa tumekuwa wazee amepona sometimes depressions zingine tunazitengeneza sisi wenywe kifamilia tukae pamoja tuwekane sawa dawa ni sisi wenyewe.Ila ukweli maji vuguvugu yanasaidia mishipa ya damu inapanuka ukiwa umelala na nashauri ukilala usivae nguo zinazobana damu ipite freely we are happy now
 
Changing lifestyle is a good start to healing from depression.

But change is hard to most people.

You may advice someone suffering from depression to eat better but they will only eat better for few days or weeks and forget it take months of commitment to heal.

But its not for me to blame anyone. I know its hard to heal from depression. Some people spend years with no hope and decide to commit suicide.

My advice is when you are depressed find someone you trust to talk to. You may find them online or in person. Never ever try hide anything it may kill you.
Upo sahihi kabisa mkuu depression ni mbaya sana tena inasababisha hata usioge wala kubadili nguo.
Ukosefu wa usingizi na pia kuona maisha hayana raha kabisa na kutamani ujiue tu.

Madawa hayasaidii kwani mengine yanaongeza matatizo kwani mengi yana side effects na yanakuongezea kuwa zombie

Prozac kwa mfano yaani hii dawa haifai kabisa
Antidepressants nyingi sio nzuri kwani nakumbuka wengi waliokuwa wanapewa prozac wengi wao wamejiuwa kwani inakutuma ujimalize tu.

Dawa yake ni kuhama sehemu ulipo na kukaa karibu na familia yako inayokujali na hapo utasahau kwa miaka isiyozidi miwili utakuwa umepona kabisa na kurudi kwenye maisha yako ya kawaida

Nafikiri dawa ni kujimaliza tu
 
Nimependa hii mada kweli JF nzuri sana ni hivi mke wangu alikuwa na depression mwaka 1996 akaenda kwa Dr akapewa vidonge vya amptryline hata hivyo akapewa ushauri na mtu atumie water therapy anakunywa lita moja ya maji vuguvugu kabla hajalala.Kwa sasa ni mzima.Nikaja kugundua kumbe depression yake ilikuwa ni wivu wa mapenzi kuogopa ukimwi kumbe mimi siko huko sasa tumekuwa wazee amepona sometimes depressions zingine tunazitengeneza sisi wenywe kifamilia tukae pamoja tuwekane sawa dawa ni sisi wenyewe.Ila ukweli maji vuguvugu yanasaidia mishipa ya damu inapanuka ukiwa umelala na nashauri ukilala usivae nguo zinazobana damu ipite freely we are happy now
Alitumia maji ya vuguvugu kwa mda gani
 
Dalili alikuwabmgomvi, mkali, hapati usingizi usiku kucha.
Wakati mwingine anaongea mambo yasiyo kweli kabisa au anaonekana confused.

Unaweza fikiria ni tabia ,no, ni dalili tu.
Muone daktari.
Kipi sasa mkuu kilimsaidia kupona kabisa nasisi wengne utusaidie tupone
 
NILIWAHI KUUGUA MAJOR/CLINICAL DEPRESSION KWA MIAKA 8 HADI NIKAWA NAFANYA THERAPY KILA WIKI HOSPITALI BINAFSI. NIKAJA TENA KUUGUA OCD...OBESESSIVE COMPULSORY DISORDER...NI UGONJWA AMBAPO AKILI INAFIKIRIA NON-STOP. VYOTE NIMEPONA NA SIO KWA MSAADA WA MADAWA YA HOSPITALI JAPO YALINISAIDIA KIASI.

NITAFUTE NIKUSAIDIE.
Kaka ulitumia tiba gani hasa tusaidiane hiyo tiba nami nina tatizo hilo kwa miaka10 sasa
 
Alitumia maji ya vuguvugu kwa mda gani
Kwa mwaka mmoja ina maana 1996-1997 na hata sasa anaendelea.Ila kuna jamaa kashauri relaxation na kuto ku entertain mawazo yasiyo na maana infact depression sio ugonjwa wa akili binadamu tunajitengenezea wenyewe
 
Kwa mwaka mmoja ina maana 1996-1997 na hata sasa anaendelea.Ila kuna jamaa kashauri relaxation na kuto ku entertain mawazo yasiyo na maana infact depression sio ugonjwa wa akili binadamu tunajitengenezea wenyewe
Mkuu kwaiyo kama mim unanishaurije maana mim yng depression imetokana nawoga wasiwasi hofu yakushindwa kufanya au kuliendea tendo la ndoa hivo kupelekea uume unasimama nkitaka kuanza kufanya unalala nakua nahofu hata sku nyinge nkitaka nawaza italala ntaweza bas nashindwa ila nshakwenda hospital kubwa kubwa zote washanambia sina tatizo lolote sjui presha sukari hormones ngiri moyo yaan sina ila ...ila nliambiwa ninatatizo lakuwa namawazo woga juu je utamudu yaan kutojiamini kuwa unaweza..
 
Kwa mwaka mmoja ina maana 1996-1997 na hata sasa anaendelea.Ila kuna jamaa kashauri relaxation na kuto ku entertain mawazo yasiyo na maana infact depression sio ugonjwa wa akili binadamu tunajitengenezea wenyewe
Hiyo relaxation inakuaje
 
Kipi sasa mkuu kilimsaidia kupona kabisa nasisi wengne utusaidie tupone
Mkuu kupona kabisa kwa upande wagu imekuwa changamoto.
Ila nimehakikisha dawa anatumia kama ilivyoelekezwa na daktari, na kuhakikisha anaonana na daktari kila baada ya mwezi su siku 45.
Lakini nimekubali kuwa kulielewa tatizo ni mojawapo ya tiba.
 
NILIWAHI KUUGUA MAJOR/CLINICAL DEPRESSION KWA MIAKA 8 HADI NIKAWA NAFANYA THERAPY KILA WIKI HOSPITALI BINAFSI. NIKAJA TENA KUUGUA OCD...OBESESSIVE COMPULSORY DISORDER...NI UGONJWA AMBAPO AKILI INAFIKIRIA NON-STOP. VYOTE NIMEPONA NA SIO KWA MSAADA WA MADAWA YA HOSPITALI JAPO YALINISAIDIA KIASI.

NITAFUTE NIKUSAIDIE.

Ulitumia nini mkuu tusaidie na sisi
 
Ulitumia nini mkuu tusaidie na sisi
Ni process ya kubadili Mentality...kukusaidia ni hadi kukaa na wewe niku examine, counter-examine na kukusoma psychology na kukufanyia counselling kwa angle zote: dini, jamii, maisha yako etc. So sio ishu ndogo ya kuandika hapa na by the way siwez kupata huo muda
 
Mkuu kwaiyo kama mim unanishaurije maana mim yng depression imetokana nawoga wasiwasi hofu yakushindwa kufanya au kuliendea tendo la ndoa hivo kupelekea uume unasimama nkitaka kuanza kufanya unalala nakua nahofu hata sku nyinge nkitaka nawaza italala ntaweza bas nashindwa ila nshakwenda hospital kubwa kubwa zote washanambia sina tatizo lolote sjui presha sukari hormones ngiri moyo yaan sina ila ...ila nliambiwa ninatatizo lakuwa namawazo woga juu je utamudu yaan kutojiamini kuwa unaweza..
I can help you.
 
Piga zoezi hasa running everyday utanishukuru baadae
FB_IMG_1666844952004.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale madaktari bingwa humu (psychologists) na waganga wakuu wa hayo mambo, nimeileta mada kwenu mnisaidie, je mtu anawezaje kupona akiwa ameumwa depression hasa hasa major depression? na kama ni dawa atumie zipi ambazo zita act fast?
Jaribu kutumia app yangu ya meditation

 
Kwa major depression ni anti depressants tu.
Zipo nyingi sana na zengine zinafanya kazi kwa mtu mmoja ila sio kwa mwengine na pia zina side effects nyingi so hakikisha unapata dactari mzuri.
Kama anajiweza kidogo angalia kitu kinaitwa cognitive behavioral therapy, hii ni therapy ya kubalidisha mtazamo wako ni one of the most effective depression treatments, kuna vitabu unaweza kudownload au kununua ambavyo ni kama workbook unafanya mwenyewe au upate actual therapist.
Cognitive behavioural therapy NDO nini Mkuu??
 
Back
Top Bottom