sawa ndugu Samahan naomba kuuliza hiyo new model unayozungumzia ni ya mwaka gani? Maana ya mwka 2013 taa zake haziingiliani na mwaka 2010Habari wakuu,
Mwenye nazo au anayeweza kunielekeza kwa mwenye hizi taa za nyuma za Toyota Ractis, msaada tafadhali. Ukisaidia na bei zake kwa mpya au used utakuwa umenisaidia sana