Samahani wapendwaa natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote Bf1 na Bf2, hivyoo kwa mtu yoyote anaejua connection na watu wanaoweza kununua naomba aniunganishe nao, awali wanunuzi wangu walikuwa wahindi, kwa sasa nilipoteza mawasiliano, bei yangu ni nzuri na ya kuelewana Asante.