David kagenzi
Member
- Nov 20, 2023
- 11
- 14
Jamani habari za wakati huu, hivi naomba kuulizia kuhusu maeneo haya mawili, MKURANGA na KIBAHA vipi eneo zuri kwa kilimo, kuna uwepo wa maji kwa ajili ya umwagiliaji, and more accesible zaidi.
Lakini naomba kujua hali ya hewa ya maeneo hayo kama kuna mu anayafahamu vizuri maeneo hayo
Lakini naomba kujua hali ya hewa ya maeneo hayo kama kuna mu anayafahamu vizuri maeneo hayo