Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

Ngoja walaji waje


Ulaji mkubwa wa nyama ya kitimoto huathiri hata tabia za wanyama, mfano ukikuta madume ya simba yanaingiliana (yakifanya ushoga) basi utakuta eneo wanapoishi hao simba kuna nguruwe mwitu wengi na hao nguruwe ndiyo chakula kikuu cha hao simba.

You Google to find homosexual lions.
 
Ulaji mkubwa wa nyama ya kitimoto huathiri hata tabia za wanyama, mfano ukikuta madume ya simba yanaingiliana (yakifanya ushoga) basi utakuta eneo wanapoishi hao simba kuna nguruwe mwitu wengi na hao nguruwe ndiyo chakula kikuu cha hao simba.

You Google to find homosexual lions.
Kumbe kule Uarabuni wanakula sana hii kitu?? Sikujua
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
THE HORTICULTURISTS

Jiunge kwenye kundi letu la whatsap tujadili mada mbali mbali kuhusu kilimo.
Kutana na wataalamu upatiwe majibu ya maswali yako kuhusu kilimo.
 
duu, nimefuatilia huu uzi toka mwanzo nimeamini jinsi ya kuanza chochote ni kuacha kuongea na kuanza kufanya
 
Kama mtahitaji eneo la kujenga hayo mabanda ,Nina eneo zuri Sana hapa dar tunaweza kuingia ubia ukajenga mabanda ya kufungia ,
Eneo Lina maji ,umeme ,na lipo jirani na main road ya morogoro road
 
Tembelea shamba hilo pengine wazo lako linaweza kupata mahala pakuanzia.
Hao jamaa kwa sasa zoezi lakuongeza thamani nyama kwa taarifa iliyopo imewashinda/wameacha .Kajifunze hapo kwanini walikwama.


Aisee
Kiliwapata nn?
 
Nyongeza kidogo.

Mimi nipo mkoani ifakara, Morogoro. Ufugaji wa nguruwe kwa hapa ni rahisi kuliko sehemu yoyote nchini. Unapata pumba za Mpunga kwa bei ya kutupa. Maana hapa ndio wazalishaji wakubwa wa mpunga. Kg 70 ya pumba napata kwa shs 2500 hapo nishamlipa na mjazaji. Kwa nilivyo alwatan naweza kupata bure.

Mashudu ya alizeti yapo kwa wingi, Pumba za mahindi zipo kibao kwa kifupi ufugaji wa hapa ni rahisi. Ila changamoto zipo. Mimi sifanyi ufugaji wa kuzalisha, nafuga kuendeleza. Nanunua kwa kuchagua nguruwe wazuri ambao hawajadumaa.

Natengeneza chakula cha mwezi mzima kinanigharimu kama tsh 200k na kinatosha kulisha nguruwe 80-100 kwa mwezi. Ila pumba za mpunga zinazidi kwenye huo mchanganyiko.

Nachanganya pumba za mahindi, Mashudu ya alizeti, pumba za mpunga, chumvi, pig mix wakati mwingine na dagaa. Matengeneza gunia 30 zinatosha kulisha mwezi mzima. Nawalisha Ahsubuhi na jioni. Wanapewa majani kila baada ya siku tatu.

Ufugaji wangu ni kama kibubu. Nikiuza ndio nimevunja.
Hadi saiv waendelea? Sijui nihamishie mrad wangu huko
 
Mkuu uko mkoa gani?Ngurue wanatafutwa sana maana nakumbuka kipindi niko moshi,kulikua kuna wadau wanatoka Dar kutafuta ngurue,na walituambia kuna kipindi wanaenda mpaka mbulu kutafuta ngurue,mama yangu alikua mfugaji mzuri sana,na Ngurue wa 70kg alikua anamuuza 350k,hii ni kwa wastani wa 5000kwa kg.
Na pia alikua anasuply kiwanda cha soseji Arusha,na hawa wa soseji arusha walikua hawana longolongo,ukiwa na breed nzuri,na ngurue wa kiume uwe umemuasi toka akiwa na miezi mitatu,amasivyo nyama inakua na harufu ambayo madume wanakua nayo,na kwenye soseji hawataki iyo harufu.Ngurue wakifika kiwandani tuu,hela mama anawekewa CRDB Chap!
So demand ya Ngurue in kubwa sana has a Arusha,Moshi,Dar na Mwanza
Kiwanda bado kipo??
 
Muwekezaji niko hapa, sema bajeti ya mradi wote ni kiasi gani na wewe unapatikana vipi?
 
Kama mtahitaji eneo la kujenga hayo mabanda ,Nina eneo zuri Sana hapa dar tunaweza kuingia ubia ukajenga mabanda ya kufungia ,
Eneo Lina maji ,umeme ,na lipo jirani na main road ya morogoro road
Dsm sehem gani mkuu. Ulipata mwekezaji?
 
Back
Top Bottom