😂😂😂Wewe ni kiboko, unasoma faculty yote?? Nimekuvulia kofia.
Sidhani kama umemuelewa mwenzako! Alisema faculty ya HRM akimaanisha Course anayosoma ni Human Resource Management. Ndio maana akajibiwa anaweza akatuma maombi sehemu yoyote yenye watumishi.Huyu jamaa ni kiboko, anasoma kozi zote zilizopo katika faculty kwa wakati mmoja na anataka kuzifanyia field pia kwa wakati mmoja. Salute kwake.
Angesema kozi na sio faculty. Wewe unaweza soma hiyo faculty ya HRM??Sidhani kama umemuelewa mwenzako! Alisema faculty ya HRM akimaanisha Course anayosoma ni Human Resource Management. Ndio maana akajibiwa anaweza akatuma maombi sehemu yoyote yenye watumishi.
Tatizo watoto hawaheshimu wazazi wao. Ok sikulaumu mtoto wangu kwakua bado upo katika hatua za ukuaji mtoto wangu.Mi nimemsamehe ubwabwa wa chauma ndo unamjeka mjini afu anashindana na watu hawajui
Usikaze ubongo man mbona jamaa ameshaeleweka shida yake why usimjibu kama unajua.Angesema kozi na sio faculty. Wewe unaweza soma hiyo faculty ya HRM??
Usikaze ubongo man mbona jamaa ameshaeleweka shida yake why usimjibu kama unajua.