Natafuta roommate nchi Marekani

Natafuta roommate nchi Marekani

Inawezekana maan amesema amepanga viumba vitatu sasa hayo mambo ya viumba 3 ni bongo hiihii huko nje huwezi kuthubutu..

Ni viwili boss nimekosea. hata hvyo hiyo inawezekana
 
Bingwa , sasa hii Tax return inahusiana vipi
Au unamuwahi Trump kabisa unatoa yako kabla yake..
Duh! halafu hufikirii maisha ya usoni kabisa, yaani pensenshi mpaka sasa una dola 100 tu... 🤣

1701648546826.png
 
Mimi naishi Marekani na nina miezi 2 nikiwa kama raia wa marekani.

Nataka roommate.

Roommate hutohusima kulipia bills yeyote ila tu nataka mtu(KE) wa kuishi nae kwa muda mfupi ambao unajitafuta chini ya miezi sita.

Kama ndo bado unawaza wapi pakufika au kuanzia maisha nchini Marekani natoa nafasi ya chuma kwa mtu mmoja ndani ya miezi sita.

Mimi napenda sana kusaifiri so nahitaji kampani ya mtu wa kuishi kwangu.

Nimepanga nyumba ina vyumba 2 ila maswala ya bills yeyote hutohusika.

Kama kuna mtu unamfahamu au unampngoa wa kujana na huna pa kufikia, Fanya tujadili zaidi PM.

Update kwa watu ambao wanafikiri niko hapa kuweka Fix


Ya kwanza ni pesa nimefanyia kazi ndani ya miezi sita mwaka huu wa 2023
View attachment 2832605


Picha ya pili ni pesa niliotuma Tanzania kupitia sendwave ndani ya miaka miwili.View attachment 2832610



Tatu ni bank statement
View attachment 2832607


Nne ni chakula ninachonunua Doordash maana sipend sana kupika.View attachment 2832611



Tano ni Bill ya umeme kila mwezi.View attachment 2832612

Mpuuzeni huyu tapeli
 
Mimi naishi Marekani na nina miezi 2 nikiwa kama raia wa marekani.

Nataka roommate.

Roommate hutohusima kulipia bills yeyote ila tu nataka mtu(KE) wa kuishi nae kwa muda mfupi ambao unajitafuta chini ya miezi sita.

Kama ndo bado unawaza wapi pakufika au kuanzia maisha nchini Marekani natoa nafasi ya chuma kwa mtu mmoja ndani ya miezi sita.

Mimi napenda sana kusaifiri so nahitaji kampani ya mtu wa kuishi kwangu.

Nimepanga nyumba ina vyumba 2 ila maswala ya bills yeyote hutohusika.

Kama kuna mtu unamfahamu au unampngoa wa kujana na huna pa kufikia, Fanya tujadili zaidi PM.

Update kwa watu ambao wanafikiri niko hapa kuweka Fix


Ya kwanza ni pesa nimefanyia kazi ndani ya miezi sita mwaka huu wa 2023
View attachment 2832605


Picha ya pili ni pesa niliotuma Tanzania kupitia sendwave ndani ya miaka miwili.View attachment 2832610



Tatu ni bank statement
View attachment 2832607


Nne ni chakula ninachonunua Doordash maana sipend sana kupika.View attachment 2832611



Tano ni Bill ya umeme kila mwezi.View attachment 2832612
Marekani ya buza hiyo na kuna mabwege yataamini
 
Bingwa , sasa hii Tax return inahusiana vipi
Au unamuwahi Trump kabisa unatoa yako kabla yake..
Duh! halafu hufikirii maisha ya usoni kabisa, yaani pensenshi mpaka sasa una dola 100 tu...

View attachment 2832615

Tumia akili.

Hiyo sio tax return.

Na hiyo peshen walitaka waanze kuchukua kwa mara kwanza ( ni kampuni ya watu binafis tu) mimi nilikataa cos bado nina benefits za SC na pili sina malengo ya kuishi Marekani
 
Mimi naishi Marekani na nina miezi 2 nikiwa kama raia wa marekani.

Nataka roommate.

Roommate hutohusima kulipia bills yeyote ila tu nataka mtu(KE) wa kuishi nae kwa muda mfupi ambao unajitafuta chini ya miezi sita.

Kama ndo bado unawaza wapi pakufika au kuanzia maisha nchini Marekani natoa nafasi ya chuma kwa mtu mmoja ndani ya miezi sita.

Mimi napenda sana kusaifiri so nahitaji kampani ya mtu wa kuishi kwangu.

Nimepanga nyumba ina vyumba 2 ila maswala ya bills yeyote hutohusika.

Kama kuna mtu unamfahamu au unampngoa wa kujana na huna pa kufikia, Fanya tujadili zaidi PM.

Update kwa watu ambao wanafikiri niko hapa kuweka Fix


Ya kwanza ni pesa nimefanyia kazi ndani ya miezi sita mwaka huu wa 2023
View attachment 2832605


Picha ya pili ni pesa niliotuma Tanzania kupitia sendwave ndani ya miaka miwili.View attachment 2832610



Tatu ni bank statement
View attachment 2832607


Nne ni chakula ninachonunua Doordash maana sipend sana kupika.View attachment 2832611



Tano ni Bill ya umeme kila mwezi.View attachment 2832612
I can see how maisha ya nje yalivyonaupweke ,
 
Tumia akili.

Hiyo sio tax return.

Na hiyo peshen walitaka waanze kuchukua kwa mara kwanza ( ni kampuni ya watu binafis tu) mimi nilikataa cos bado nina benefits za SC na pili sina malengo ya kuishi Marekani
Si umesema ni raia wa marikani🤣🤣
Kwann usiwe na malengo ya kuishi nchini kwako?
Ningekuwa marikan ningekudm
Tatizo Niko huku misigiri
 
Si umesema ni raia wa marikani
Kwann usiwe na malengo ya kuishi nchini kwako?
Ningekuwa marikan ningekudm
Tatizo Niko huku misigiri

Si lazima mmarekani kuwa na malengo ya kuishi Marekani
 
Back
Top Bottom