KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,291
Upo wapi na unauzaje? Weka bei hadharani ili tujue ka unatupiga au la.Ninazo mkuu wala si moja,mzigo ni wa kutosha
Upo wapi na unauzaje? Weka bei hadharani ili tujue ka unatupiga au la.Ninazo mkuu wala si moja,mzigo ni wa kutosha
nipigie 0773211726 nikuuzie.Habari wadau!
Naomba msaada kwa mtu anayejua sehemu (duka) ambalo naweza kupata receiver ya strong (SRT 4922), hasa kwa Dar es Salaam na Mwanza.
Natanguliza shukrani.
Mimi ninayo mpya uko wapi wewe nikuuzie???Jamani hakuna mwenye hii receiver?
Nimekutumia PMMimi ninayo mpya uko wapi wewe nikuuzie???
hadi sasa bei ya str4922 si chini ya 250kKwa sasa zina bei gani? Ilisolokobwe
Kiongozi na je srt 4663x inaendaje kama unafahamu?hadi sasa bei ya str4922 si chini ya 250k
hizo hazina bei mkuu, unapata chini ya laki1 maana hazina power vuKiongozi na je srt 4663x inaendaje kama unafahamu?
Shukrani mkuu nashukuru kwa majibu yako nitakutafuta muda ukiwadia.hizo hazina bei mkuu, unapata chini ya laki1 maana hazina power vu
okShukrani mkuu nashukuru kwa majibu yako nitakutafuta muda ukiwadia.