Binti Mzalendo
Member
- Aug 3, 2022
- 27
- 18
- Thread starter
- #21
Tayari ni dodo chini ya muharobaini 🤣🤣🤣 vyote Sina 😢😗Tupe sifa zako kwanza.
Una kiuno nyigu?
Una msambwanda?
Guu la bia?
Ziwa konzi yaani Lile saa sita?
Macho ya goroli? na meupe
Sura ya mviringo?
Nywele za Masai?
Una shahada ngapi?
Una kazi?
Una gari ?
Una Nyumba?
Una mtoto?
Dini yako?
Jibu hayo Wana wajimwaye mwaye, isije ikawa mtu anaokotwa dodo chini ya mpapai