Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 499
- 225
- Thread starter
- #41
hizo ni fikra zako, hazina ukweli.
Its possible mume/mchumba wako yuko mbali mfano nje ya nchi kimasomo au kikazi. Hii inakufanya uwe mpweke na hutaki kuvunja kiapo. Sasa basi, kumbuka huyo wa ukweli akijua hapatakalika. Chagua moja kunyoa au kusuka.