K kiddy adams Member Jun 27, 2012 13 2 Jun 28, 2012 #101 Nina vigezo vyote ila kimoja tuu cha umri Nina 30'je!utalizingatia hilo?maelezo zaidi zenji14@hotmail.com
Nina vigezo vyote ila kimoja tuu cha umri Nina 30'je!utalizingatia hilo?maelezo zaidi zenji14@hotmail.com
Babamzazi Senior Member Oct 27, 2013 176 39 Nov 8, 2013 #102 Ningefurahi kama nafasi hiyo ningeipata mimi. Sifa zangu: Mimi ni mmachinga, bia kulipa mwisho 3 Nina mchumba na mtoto mmoja Umri wangu ni zaidi ya miaka 35 Kutokana na kazi zangu nimejazia kimazoezi Ninatumia pikipiki motokari sina. Je naweza kufikiriwa au sisi maskini hatuna haki ya kuwa na marafiki warembo?
Ningefurahi kama nafasi hiyo ningeipata mimi. Sifa zangu: Mimi ni mmachinga, bia kulipa mwisho 3 Nina mchumba na mtoto mmoja Umri wangu ni zaidi ya miaka 35 Kutokana na kazi zangu nimejazia kimazoezi Ninatumia pikipiki motokari sina. Je naweza kufikiriwa au sisi maskini hatuna haki ya kuwa na marafiki warembo?
juma s magombe Member May 17, 2013 36 5 Nov 9, 2013 #103 nina 25yrs sina mke bt nina gf.. vigezo vingine vyote ninavyo vip uta kuwa interested? Nicheki juma.magombe@yahoo.com 0757157725 sms, whatsapp, au calls
nina 25yrs sina mke bt nina gf.. vigezo vingine vyote ninavyo vip uta kuwa interested? Nicheki juma.magombe@yahoo.com 0757157725 sms, whatsapp, au calls