Watu wazima tumeshaelewa nini hasa unachokitaka!!Hebu weka kidogo basi sifa zako japo kwa ufupi tuthaminishe mzigo!!Natafuta rafiki wa kiume, company tu nothing much. akiboreka and needs my company nitakuwepo na mimi nikiboreka nikimuhitaji awepo. ila strictly no jigjig. rafiki wa ukweli kama wa kike vile. muhimu tunapeana misaada ya mawazo. tunasaidiana kwenye shida n.k. sifa za huyu friend. - awe na kazi na kipato kizuri, sio tukitoka for a drink basi kutwa bill ikija ndo mkojo unambana - awe ameajiriwa ofisi yenye kueleweka, sio mission town. - hata akiwa na mke poa tu maana most important ni normal friend - umri from 35 kuendelea. - pamoja na kwamba ni normal friend lakini akiwa good looking kidogo itapendeza zaidi hata tukitoka sitajisikia vibaya kua nae. - akiwa na motokari pia itakua poa zaidi, ili kila mtu ajitegemee tunapopanga kukutana. - awe flexible nikihitaji company yake kwenda mahali sio aanze za kuleta, "mama imekua hivi au vile" msinitoe roho jamani, sitaki company ya mwanamama nina sababu zangu. Kama uko interested, ni PM tafadhali.
Watu wazima tumeshaelewa nini hasa unachokitaka!!Hebu weka kidogo basi sifa zako japo kwa ufupi tuthaminishe mzigo!!
Pj, mbona kuna MBA (married but available). Kuna wanaume wameoa na wana watoto lakini kila siku wako bar hadi saa saba usiku! Atapata bana ila anahitaji mechanism ya kuacha nanilii home.
Kuhusu kipato, nadhani amefanya sahihi kusema manake kama kijana akiwa apeche sana watakuwa wanashindwa kushare bills.
kweli watu wazima mnaona mbali
kama anavigezo hivyo hapo lazima afungue kitabu asome na si kukitazama tu.all the bestNatafuta rafiki wa kiume, company tu nothing much. akiboreka and needs my company nitakuwepo na mimi nikiboreka nikimuhitaji awepo. ila strictly no jigjig. rafiki wa ukweli kama wa kike vile. muhimu tunapeana misaada ya mawazo. tunasaidiana kwenye shida n.k.
sifa za huyu friend.
- awe na kazi na kipato kizuri, sio tukitoka for a drink basi kutwa bill ikija ndo mkojo unambana
- awe ameajiriwa ofisi yenye kueleweka, sio mission town.
- hata akiwa na mke poa tu maana most important ni normal friend
- umri from 35 kuendelea.
- pamoja na kwamba ni normal friend lakini akiwa good looking kidogo itapendeza zaidi hata tukitoka sitajisikia vibaya kua nae.
- akiwa na motokari pia itakua poa zaidi, ili kila mtu ajitegemee tunapopanga kukutana.
- awe flexible nikihitaji company yake kwenda mahali sio aanze za kuleta, "mama imekua hivi au vile"
msinitoe roho jamani, sitaki company ya mwanamama nina sababu zangu.
Kama uko interested, ni PM tafadhali.
kabla sijaku-PM (maana nina sifa karibu zote ulizoainisha) naomba ufafanuzi hapo kwenye highlightNatafuta rafiki wa kiume, company tu nothing much. akiboreka and needs my company nitakuwepo na mimi nikiboreka nikimuhitaji awepo. ila strictly no jigjig. rafiki wa ukweli kama wa kike vile. muhimu tunapeana misaada ya mawazo. tunasaidiana kwenye shida n.k.
sifa za huyu friend.
- awe na kazi na kipato kizuri, sio tukitoka for a drink basi kutwa bill ikija ndo mkojo unambana
- awe ameajiriwa ofisi yenye kueleweka, sio mission town.
- hata akiwa na mke poa tu maana most important ni normal friend
- umri from 35 kuendelea.
- pamoja na kwamba ni normal friend lakini akiwa good looking kidogo itapendeza zaidi hata tukitoka sitajisikia vibaya kua nae.
- akiwa na motokari pia itakua poa zaidi, ili kila mtu ajitegemee tunapopanga kukutana.
- awe flexible nikihitaji company yake kwenda mahali sio aanze za kuleta, "mama imekua hivi au vile"
msinitoe roho jamani, sitaki company ya mwanamama nina sababu zangu.
Kama uko interested, ni PM tafadhali.
mimi sitaki.