Natafuta rafiki wa kike Mimi ni mwanaume

Natafuta rafiki wa kike Mimi ni mwanaume

Natafuta rafiki wa kike Mimi ni mwanaume wa miaka 28, Nina stashahada ya ufundi mitambo, nipo dar es salaam, Mbezi. Tutakuwa tunabadilishana mawazo ya maisha. Namba ya simu 0756704145
Ukipata wengi, usiwasahahu waio nao
 
Kwani wale wanaoweka matangazo wanatafuta wanaume siyo issue ya kawaida?
Wewe unatafuta wanawake pia ni issue ya kawaida.
Wote mnajiuza mtandaoni.
Hapana mkuu, Mimi natafuta rafiki wa kubadilishana nae mawazo ya maisha mengine ziada
 
Kwani wale wanaoweka matangazo wanatafuta wanaume siyo issue ya kawaida?
Wewe unatafuta wanawake pia ni issue ya kawaida.
Wote mnajiuza mtandaoni.
Sasa mkuu unanifananisha na wale ...... Mkuu jamiiforums ni Great thinkers tunakutana kwanini tusiwe marafiki kama facebook tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom