mi ni kidume chiefKwa Sasa rafiki, mke baadae kama itawezekana, njoo PM/INBOX
DahTafta hela maskini wewe
Mkuu post ya kumi hii.. Bado hujapata tu?Natafuta rafiki wa kike Mimi ni mwanaume wa miaka 28, Nina stashahada ya ufundi mitambo, nipo dar es salaam, Mbezi. Tutakuwa tunabadilishana mawazo ya maisha, Njoo inbox/PM
Leo lazima upate, ngoja waje ndugu yangu.. Tatizo huweki namba..Bado sijapata
ukiwa na pesa mingi watakuja mingi sana. fata ushauri tafuta pesaTafta hela maskini wewe
Wadada wakishasoma hii comment watapita juu kwa juu!Nimekupata, unamichongo gani tupeane..Mimi fundi mitambo, kompyuta programu na kusimamia biashara za mtandaoni ya kijamii
Matajiri hawapendi kuchoreshwa! Weka nambaWaje PM / Inbox.....
Dunia imebadilika, sasa wanaume wanajiuza kwenye mitandao na kutoa namba kabisa.Natafuta rafiki wa kike Mimi ni mwanaume wa miaka 28, Nina stashahada ya ufundi mitambo, nipo dar es salaam, Mbezi. Tutakuwa tunabadilishana mawazo ya maisha. Namba ya simu 0756704145