MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,498
Kwa mara ya kwanza wanawake wanaokula nyama wamebaguliwa. Mkuu mimi nakuelewa, hautaki mavitambi
Sifikirii kupata mla nyama ili nimbadilishe asile nyama. Wengine mnachelewa kuelewa. Wapo watu hawali nyama, ndo ninataka hao,na hataona vibaya kula mimea mpaka kufa kwa sababu ni culture amekuwa nayo,wewe unayekula nyama isikusumbueMtoto wa mtu atalishwa chinese na mchicha hadi afe
😂😂🤣🤣 awe mfia dini za waarabuNiko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde,umri wangu miaka 35,sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
Utumbo je?Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde,umri wangu miaka 35,sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
Pga chini yule selaaa, acha nyama unga trela apo mamilooHapo kwenye nyama ndo pagumu
🤣🤣🤣Kwani akila wew unadhurika na nn?, Wew kama huli yeye si atakupkia milenda yako. Mashart ya kipumbav inamaana mkiish nae ndugu wanaotumia nyama wasije au wasipikiwe?
huyu muhuni bahili tumemushtukiaMtoto wa mtu atalishwa chinese na mchicha hadi afe
Nasimama kama muafrika so,kuleweka zaidi asiwe mfia dini za watu weupe😂😂🤣🤣 awe mfia dini za waarabu
Ooh okyNasimama kama muafrika so,kuleweka zaidi asiwe mfia dini za watu weupe
Huyu ni RastaNiko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde,umri wangu miaka 35,sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com