mwanamama
Member
- Feb 6, 2008
- 61
- 0
mh jamani black is not good kwa kweli.
Nowadays black men want white look-alike woman. Mh kazi mnayo wadanganyika, ukoloni mnao mpaka kwenye damu zenu. inasikitisha sana kwa kweli pale mtu anapoona weupe ni kitu cha muhimu sana katika mwanamke?
Je hao wanawake weupe watoke wapi jamani?kama baba zao ni weusi?
Hii ina-send what message to young women in Tz? Kuwa weusi ni ubaya?
think hard
Nowadays black men want white look-alike woman. Mh kazi mnayo wadanganyika, ukoloni mnao mpaka kwenye damu zenu. inasikitisha sana kwa kweli pale mtu anapoona weupe ni kitu cha muhimu sana katika mwanamke?
Je hao wanawake weupe watoke wapi jamani?kama baba zao ni weusi?
Hii ina-send what message to young women in Tz? Kuwa weusi ni ubaya?
think hard